Umekitendea haki cheo chakoAsante kiongozi kwa ukumbusho ...twende kwenye mada
Tatizo kuu linakuja watu tanakuwa waongeaji bila matendo humu kila mtu akitaka kuwa na kipengele chake inawezekana kabisa muhimu ni kujitoa ili kuliendeleza jukwaa letu ...
Unaposema mtu anaquote kimzaha nahisi sio kweli japo yawezekana kuna ukweli ndani yake ila kama ni ishu ikipostiwa huwa naona watu wanachangia japo kwa ufupi
Mda mwingine ni lazima kufanya kinachoonekana kuwakera wengi hasa mapenzi lengo kusogeza Uzi na utani ukiwemo ila simply watu tunaondoa stress zetu hapa
shukrani
Yeye ni dereva bora
Huku kwetu Sizonje ni mkubwa kuliko Bunge, katiba na Mahakama
.....
marhabaa mtoto mzuri, una heshima ila huruma hunasalama shikamoo
1997 - Makachero wa FBI waanza upya upelelezi wa kifo cha Mtoto Jon Benet Ramsey.
JonBenet Ramsey aliuwawa mwaka 1996 akiwa na miaka 6 tu katika mazingira yenye utata mkubwa akiwa nyumbani kwao na mpaka leo muuaji wake hajajulikana na kesi yake bado ipo wazi.
Kabla ya kifo chake mtoto JonBenet Ramsey alikuwa ni mshindi katika shindano la Mamiss watoto.
vizuriTuko poa
Banned??Umekitendea haki cheo chako
Sodataaa praise the Lordmakapuku
siku njema uonekana hasubuhi, na mimi kama kama kapuku mwenzenu nawatakia siku njema yenye mafanikio
leo una kila sababu ya kutimiza jambo ulilolipanga kwakua unauwezo mkubwa within you though you had doubt yourself
ebu anza siku ya leo ukiwa na ma positive thinking in your mind, ahahah!
lakin hayo yote yataenda bila kumsahau Mungu wako
Kabisa mkuu tupo pamojaKumekuchaa mkuu
Ndo hivyoTujitahidi tu kujilimit kuna muda mtu anakuwa bored hivyo ataingia huku afurahi na familia yake.
Hilo swali mpaka leo limekosa majibu mkuu.Sasa wauaji walikuwa na maslahi gani na huyu mtoto au ndo kukomoa wazazi wake tu
....
Kuquote nilipopazungumzia ni ilestyle ya mtu kutoka tu "kuquote kwa lazima" mambo muhimu kisha kucomment tu ili aonekaneAsante kiongozi kwa ukumbusho ...twende kwenye mada
Tatizo kuu linakuja watu tanakuwa waongeaji bila matendo humu kila mtu akitaka kuwa na kipengele chake inawezekana kabisa muhimu ni kujitoa ili kuliendeleza jukwaa letu ...
Unaposema mtu anaquote kimzaha nahisi sio kweli japo yawezekana kuna ukweli ndani yake ila kama ni ishu ikipostiwa huwa naona watu wanachangia japo kwa ufupi
Mda mwingine ni lazima kufanya kinachoonekana kuwakera wengi hasa mapenzi lengo kusogeza Uzi na utani ukiwemo ila simply watu tunaondoa stress zetu hapa
shukrani
Marahaba hujambo mtoto mzuri, nafurahi kukuona mwenye furaha tele na afya pia, God is Good all the timeBaba paroko shikamoo
Ebu kuwa wazi mkuu yawezekana wengine hawajui/hatujui kama wanakosea/tunakoseaKuquote nilipopazungumzia ni ilestyle ya mtu kutoka tu "kuquote kwa lazima" mambo muhimu kisha kucomment tu ili aonekane
Samtaimu inachekesha
......
Unakumbuka jana maneno yangu kwamba Rashford still my HERO of the week, jana usiku tena he proved that my statement was right...... Viva kikosi changuTuko poa
Tatizo wadau wa kuleta vitu adimu ndo hatupo in shortNdo hivyo
Kuondoa stress muhimu ila iditufanye kuacha kujadili mambo yenye kulisha ubongo
Thread ni ya mambo mchanganyiko yaani tuiboreshe kiasi mtu akiwepo hapa apate kila kitu hadi kusahau km kuna Vingongo Forum
.........
Chizi hawezi kupiga gitaa
Jamaa linapiga gitaa km chizi
.....
OngeraaaUnakumbuka jana maneno yangu kwamba Rashford still my HERO of the week, jana usiku tena he proved that my statement was right...... Viva kikosi changu