Makapuku Forum

Umekitendea haki cheo chako
 
Sasa wauaji walikuwa na maslahi gani na huyu mtoto au ndo kukomoa wazazi wake tu
....
 
Sodataaa praise the Lord
 
Tujitahidi tu kujilimit kuna muda mtu anakuwa bored hivyo ataingia huku afurahi na familia yake.
Ndo hivyo
Kuondoa stress muhimu ila iditufanye kuacha kujadili mambo yenye kulisha ubongo
Thread ni ya mambo mchanganyiko yaani tuiboreshe kiasi mtu akiwepo hapa apate kila kitu hadi kusahau km kuna Vingongo Forum

.........
 
Kuquote nilipopazungumzia ni ilestyle ya mtu kutoka tu "kuquote kwa lazima" mambo muhimu kisha kucomment tu ili aonekane
Samtaimu inachekesha
......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…