Makapuku Forum

Makapuku Forum

027dc42b1c241cc6ea7a8248c948726e.jpg
4e8faa2a96fb6bffb74ce07aafe97811.jpg
21f5397ff402f1cd4b532b044853c7b5.jpg

Jamaa ni super sub km Ole Gunnar Solskjaer
.....
Bado hajafikia level ile
 
makapuku
siku njema uonekana hasubuhi, na mimi kama kama kapuku mwenzenu nawatakia siku njema yenye mafanikio
leo una kila sababu ya kutimiza jambo ulilolipanga kwakua unauwezo mkubwa within you though you had doubt yourself
ebu anza siku ya leo ukiwa na ma positive thinking in your mind, ahahah!
lakin hayo yote yataenda bila kumsahau Mungu wako
Mkuu umenigusa vibaya... Mungu akubaliki
 
Nikiamka ndo kitu cha kwanza
Sema nakutana na mastori mengi hivyo nasomaga kimyakimya maana maana nakuta hakuna sehemu ya "kupumulia"
........
Sawa mkuu ila magazeti huwa yanawahi kabla ya mastori ya jukwaani ...asubh tunajitahd utan sio sana

Leo ndo nimeona quote yako kwa Gazeti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom