Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
aiseeDah wabongo si watu wakispot spot hahaha sasa hapo labda alikuwa anahesabu vidole akafika dole la kati mka...![]()
![]()
![]()
aiseeDah wabongo si watu wakispot spot hahaha sasa hapo labda alikuwa anahesabu vidole akafika dole la kati mka...![]()
![]()
![]()
Ameen mama mchuchu ubarikiwe na wwBaba Mungu Mwenyezi tunakushukuru sana kwa wema wako unaotutendea siku hadi siku,asante kwa kutuamsha salama na kutupa uzima na afya njema,tunaomba utusamehe makosa yetu tuliyokukosea kwa mawazo ,maneno,matendo tunaomba utusaidie tuwe na upendo na uvumilivu katika maisha yetu kila siku tunawaombea wagojwa,wafiwa,wenye shida mbalimbali,wazazi,watoto,vijana wasafiri wape kukutegemea wewe tu,wasipungukiwe..bariki kazi za mikono yetu ,utafutaji utubariki tuingiapo na tutokapo,Asante Bwana Yesu maana utatenda sawa na mapenzi yako Amen
1 Nyakati 23
30 Nao wasimame kila asubuhi kumshukuru na kumsifu BWANA na jioni pia
Tunapaswa kumshukuru BWANA MUNGU wetu kila wakati.
Haijalishi tunapiti changamoto gani.
Tumshukuru kuashwa salama sio kwa uwezo wetu.
Tumshukuru kwa riziki na neema anazotupatia peke yetu hatuwezi.
Tumshukuru ametupa marafiki wema,ndugu hata mahali hapa MAKAPUKU tunapokutana na kufurahi ni Upendo wake.
Hata tukipungukiwa tushukuru maana ni kwa muda tu ,atatuinua tena.
ASANTE MUNGU KWA YOTE UNAYOTUTENDEA.
Muwe na siku njema mbarikiwe
Binamu shikamoo hivi Adolph mbinga anapiga gitaa gan na shakashia sijui shakazululee empire asante kwa magazeti
kimubashara kabisaAhaaaah humu bado tunafaidi wachache
Mondray bado
Mkubhi kaamuaa awe single
Shedede inspector anatapatapa
Baba paroko naye eti ni bahili
Shunie & lee empire kama kawaida kimubashara
Sakayo & Transcend yanang'ara
hahahha hivi maneno unayatoa wapiBora joka wataliogopa..
nyuki wa mgahawani wanazunguka tu kama upepo
mwezi wa 7 si bado haujafikaTafakari ya kirat..
![]()
MhIla fursa zipo sema uoga wako ndo upweke wako
hivi upo upande gan ujue sikuelewiItakuwa vizuri sana
Anyway mama mchungaji anakusalimiaq
Baba paroko shikamooNakutania mkuu, valentina ni wa ray, mimi nalazimisha tu awe wangu, mimi simwezi anataka sadaka zote kah
Mkhubi shikamoo
Binamu ulisema hautaki akuite mkuuHaha ahaha, ngoja nimsalime pia.
BlessedHope umeamka salama
salama shikamoohabari za asubuhi wakubwa
mmeamkaje??
Nyagei shikamooHongera kwa 170k
![]()
![]()
![]()