Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habarini za asubuhi Makapuku

Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nilishindwa kuwaleteeni matokeo ya mechi zilizochezwa jana za Europa league.
Leo tutaziangalia mechi za ligi zikiendelea kurindima
 
Baba Mungu Mwenyezi tunakushukuru sana kwa wema wako unaotutendea siku hadi siku,asante kwa kutuamsha salama na kutupa uzima na afya njema,tunaomba utusamehe makosa yetu tuliyokukosea kwa mawazo ,maneno,matendo tunaomba utusaidie tuwe na upendo na uvumilivu katika maisha yetu kila siku tunawaombea wagojwa,wafiwa,wenye shida mbalimbali,wazazi,watoto,vijana wasafiri wape kukutegemea wewe tu,wasipungukiwe..bariki kazi za mikono yetu ,utafutaji utubariki tuingiapo na tutokapo,Asante Bwana Yesu maana utatenda sawa na mapenzi yako Amen

1 Nyakati 23

30 Nao wasimame kila asubuhi kumshukuru na kumsifu BWANA na jioni pia

Tunapaswa kumshukuru BWANA MUNGU wetu kila wakati.

Haijalishi tunapiti changamoto gani.

Tumshukuru kuashwa salama sio kwa uwezo wetu.

Tumshukuru kwa riziki na neema anazotupatia peke yetu hatuwezi.

Tumshukuru ametupa marafiki wema,ndugu hata mahali hapa MAKAPUKU tunapokutana na kufurahi ni Upendo wake.

Hata tukipungukiwa tushukuru maana ni kwa muda tu ,atatuinua tena.

ASANTE MUNGU KWA YOTE UNAYOTUTENDEA.

Muwe na siku njema mbarikiwe
Ameen mama mchuchu ubarikiwe na ww
 
Tafakari ya kirat..

1c5ea4c3c16548bec669503a41340356.jpg
mwezi wa 7 si bado haujafika
 
Za asubuhi waungwana
Nafikiri km wiki mbili zilizopita "tulikubaliana" kuirudisha hadhi ya thread kwa kuipendezesha kwa kuleta vipindi vinavyovurua....wapo walioonyesha msisitizo kwa kuleta vitu vizuri km One yy kuanzisha cha muziki. Lee jaanzisha facts, Transcend kuanzisha nukuu Mimi pia nimejaribu kuleta Top Ten na Mambo usiyoyajua muda wa Joni/ usiku bila kumsahau Nyagei na update zake

Lakini cha kushanfaza mwitikio ni mdogo watu tumejisahau tunapiga tu stori za mapenzi asubuhi hadi usiku bila much OK a na mtu akileta kipindi anapuuzwa tu na mtu anaamua kuquote kwa masihara tu

Humu yupo watu wa aina zote au taaluma meal in bal i tujitahidi kuelimishana, pamoja na kufahamishana mambo mbalimbali yenye faida na tuwe tunapiga stori pia
Kumbukeni too much is harmful matokeo yake thread inadharaurika na kuonekana tu km ya watoto wa Primary

Nakaribisha maoni ya kujenga kukosolewa maana thread ni yetu sote na usitoshe wengine hupgopa jutoa maoni kwa kuepuka kuonekana wana midomo

Turekebishane kwa upendo
Karibuni
.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom