Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Umekitendea haki cheo chakoAsante kiongozi kwa ukumbusho ...twende kwenye mada
Tatizo kuu linakuja watu tanakuwa waongeaji bila matendo humu kila mtu akitaka kuwa na kipengele chake inawezekana kabisa muhimu ni kujitoa ili kuliendeleza jukwaa letu ...
Unaposema mtu anaquote kimzaha nahisi sio kweli japo yawezekana kuna ukweli ndani yake ila kama ni ishu ikipostiwa huwa naona watu wanachangia japo kwa ufupi
Mda mwingine ni lazima kufanya kinachoonekana kuwakera wengi hasa mapenzi lengo kusogeza Uzi na utani ukiwemo ila simply watu tunaondoa stress zetu hapa
shukrani