Makapuku Forum

Makapuku Forum

1926 - Malkia Elizabeth wa II anazaliwa.

Ni Malkia wa Uingereza toka mwaka 1952 akidumu madarakani kwa miaka 65 na kumfanya kiongozi aliyekaa muda mrefu zaidi.

Ndio mkuu wa Jumuiya ya Madola.
05c8de13bfcaeb07db3e8243f53d0a39.jpg
219740a34708386e4772f7858561cd69.jpg
13328dee9ec798882717972b7d91bd2e.jpg

Mbona hatuwasikii Wamarekani wakitokwa povu na kupeleka majeshi UK ili kuuondoa huu utawala wa kurithishana
....
 
Ebu kuwa wazi mkuu yawezekana wengine hawajui/hatujui kama wanakosea/tunakosea
Nilimaainisha mambo serious mtu anaquote tu hana cha kuongea ila analazimisha tu aonekane
Nafikiri kuna mtu ulimuona "umekula maharage ya wapi" n.k
Samtaimu mtu bora akae tu kimya
.......
 
Ndo hivyo
Kuondoa stress muhimu ila iditufanye kuacha kujadili mambo yenye kulisha ubongo
Thread ni ya mambo mchanganyiko yaani tuiboreshe kiasi mtu akiwepo hapa apate kila kitu hadi kusahau km kuna Vingongo Forum

.........
Tatizo jina la forum statement yako umejibu vizuri sana, mambo mchanganyiko tozi nyangema wetu chukua tano
 
Ndo ivo

Alifululiza kuniquote kipuuzipuuzi
Yale yalikuwa matusi ila nikapotezea

Utani ni kawaida yetu
.......
Kweli mkuu

Ila kingine tukumbuke tunapenda replay za kufa kiumbe mfano juzi 2k per day ...

Tusamehane hasa mm na mr T na wenzetu ila hakuna namna balozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom