Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tupate ratiba ya mechi za leo tarehe 21/4/2017
Belgium playoffs Eufa
32c6b556df88fd77c8d32861357f7d26.jpg

France league 1
2863ac8e7a47f082e9cad19df3821cee.jpg

Germany Bundesliga
01ff53985780a135fc283c63f4d0e25b.jpg

Kenya premier League
e31468764dadc406dad7d2cb7a9f41f9.jpg

Netherlands EREDIVISIE
62ffc6aa87c51f28169ffaf27ddd2013.jpg

Spain LaLiga
0f36ad68633081491f7d617b23fa2d5e.jpg

Uganda Premier League
b1b0bd03b09312fb2f474ce6d968c22a.jpg
Maskini Samatta ataisikia Europa semi final kwenye bombs

......
 
1997 - Makachero wa FBI waanza upya upelelezi wa kifo cha Mtoto Jon Benet Ramsey.

JonBenet Ramsey aliuwawa mwaka 1996 akiwa na miaka 6 tu katika mazingira yenye utata mkubwa akiwa nyumbani kwao na mpaka leo muuaji wake hajajulikana na kesi yake bado ipo wazi.

Kabla ya kifo chake mtoto JonBenet Ramsey alikuwa ni mshindi katika shindano la Mamiss watoto.
 
Za asubuhi waungwana
Nafikiri km wiki mbili zilizopita "tulikubaliana" kuirudisha hadhi ya thread kwa kuipendezesha kwa kuleta vipindi vinavyovurua....wapo walioonyesha msisitizo kwa kuleta vitu vizuri km One yy kuanzisha cha muziki. Lee jaanzisha facts, Transcend kuanzisha nukuu Mimi pia nimejaribu kuleta Top Ten na Mambo usiyoyajua muda wa Joni/ usiku bila kumsahau Nyagei na update zake

Lakini cha kushanfaza mwitikio ni mdogo watu tumejisahau tunapiga tu stori za mapenzi asubuhi hadi usiku bila much OK a na mtu akileta kipindi anapuuzwa tu na mtu anaamua kuquote kwa masihara tu

Humu yupo watu wa aina zote au taaluma meal in bal i tujitahidi kuelimishana, pamoja na kufahamishana mambo mbalimbali yenye faida na tuwe tunapiga stori pia
Kumbukeni too much is harmful matokeo yake thread inadharaurika na kuonekana tu km ya watoto wa Primary

Nakaribisha maoni ya kujenga kukosolewa maana thread ni yetu sote na usitoshe wengine hupgopa jutoa maoni kwa kuepuka kuonekana wana midomo

Turekebishane kwa upendo
Karibuni
.....
Ninachoshauri story ziendelee tu Ila kuhusu vipindi, magazeti, unbelievable fact, leo katika historia pamoja na picha, ratiba na matokeo viwanjani, Je wajua, (Mondray & Bitoz) Good music pamoja na sala ya asubuhi na jioni tuvipatie muda tu na umuhimu wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom