Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,538
Nawatoa hofu mkuu kwa wale wataogoma kunikaribisha maana wasije hisi ntawadhuruKwemàa kabisa mkuu
Mbona unajiteteaa mno
wakati sina madhara kabisa mie

Nawatoa hofu mkuu kwa wale wataogoma kunikaribisha maana wasije hisi ntawadhuruKwemàa kabisa mkuu
Mbona unajiteteaa mno

Mama mchungaji uzidi kubarikiwaBaba Mungu Mwenyezi tunakushukuru sana kwa wema wako unaotutendea siku hadi siku,asante kwa kutuamsha salama na kutupa uzima na afya njema,tunaomba utusamehe makosa yetu tuliyokukosea kwa mawazo ,maneno,matendo tunaomba utusaidie tuwe na upendo na uvumilivu katika maisha yetu kila siku tunawaombea wagojwa,wafiwa,wenye shida mbalimbali,wazazi,watoto,vijana wasafiri wape kukutegemea wewe tu,wasipungukiwe..bariki kazi za mikono yetu ,utafutaji utubariki tuingiapo na tutokapo,Asante Bwana Yesu maana utatenda sawa na mapenzi yako Amen
1 Nyakati 23
30 Nao wasimame kila asubuhi kumshukuru na kumsifu BWANA na jioni pia
Tunapaswa kumshukuru BWANA MUNGU wetu kila wakati.
Haijalishi tunapiti changamoto gani.
Tumshukuru kuashwa salama sio kwa uwezo wetu.
Tumshukuru kwa riziki na neema anazotupatia peke yetu hatuwezi.
Tumshukuru ametupa marafiki wema,ndugu hata mahali hapa MAKAPUKU tunapokutana na kufurahi ni Upendo wake.
Hata tukipungukiwa tushukuru maana ni kwa muda tu ,atatuinua tena.
ASANTE MUNGU KWA YOTE UNAYOTUTENDEA.
Muwe na siku njema mbarikiwe
Ahaaaaaah inshort wewe ni kama nyuki wa cafteriaNawatoa hofu mkuu kwa wale wataogoma kunikaribisha maana wasije hisi ntawadhuru
wakati sina madhara kabisa mie![]()
![]()
![]()
![]()
Scramble end patition ishamalizika humu?Pamojaa kiongozii
hahaha amna mkuu mimi nilile joka kubwa la pale kibisa lisilokuwa na madhara ,Ahaaaaaah inshort wewe ni kama nyuki wa cafteria
Ahaaaah humu bado tunafaidi wachacheScramble end patition ishamalizika humu?![]()
![]()
![]()
Mondray kashakabidhiwa colon lake ??
Bora joka wataliogopa..hahaha amna mkuu mimi nilile joka kubwa la pale kibisa lisilokuwa na madhara ,
Maana meno yote nishatolewa sina sumu
Asante sana.Huwa officially nimejiunga hapaYes kiongozi
Karibu kwenye familia pendwa
hahaha tatizo mmejimilikisha kinyume cha taratibuAhaaaah humu bado tunafaidi wachache
Mondray bado
Mkubhi kaamuaa awe single
Shedede inspector anatapatapa
Baba paroko naye eti ni bahili
Shunie & lee empire kama kawaida kimubashara
Sakayo & Transcend yanang'ara
Bora joka wataliogopa..
nyuki wa mgahawani wanazunguka tu kama upepo

hahahahaTafakari ya kirat..
![]()
Shaka ondoa njooo tulisongeshe mkuuAsante sana.Huwa officially nimejiunga hapa
Mkuuu acha tufaidiiiiiiihahaha tatizo mmejimilikisha kinyume cha taratibu![]()
![]()
![]()
inabidi tutangaze za buni upya maana mdogo wangu mondray anatapa tapa tu hajui pakushika
Na kweli mnafaidi wachache tu mali za uma
Ila fursa zipo sema uoga wako ndo upweke wako![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dah kweli basi acha niwe nyuki wa mgahawani maana![]()
![]()
![]()
Mjini shulehahahaha
kweli kabisa wala si uwongoMjini shule
Kalibu mkuuJaman kwema umu ,hodi mpaka vyumbani?
Msiogope nakuja fanya usafi wala sina madhara mie![]()
![]()
![]()
![]()
![]()