Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

In counrty caring justice and equality , hosts must be an instrument to protect rights of the majority and never allow that instrument of few caring to themselves and forget the interest of the majority.

"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi"


Maneno haya yalipatwa kutamkwa na Aliyekuwa Waziri mkuu wa 2 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Edward Moringe Sokoine aliyezaliwa 01/08/1938 na kufariki tare 12/4/1984

Sokoine alifariki akiwa na miaka 45, kwa ajali ya gari mkoani morogoro katika eneo la Dakawa.

Sokoine alikiwa ni kiongozi shupavu, mwenye kujali haki, mwenye kujali maslahi ya wengi na mwenye kupenda watu..

Ukisoma vizuri hayo maneno ya Sokoine na ukiangalia kinachoendelea nchi sasa hivi utagundua kitu..utaona ukweli wa maneno ya Sokoine..

Tanzania iko mahali pabaya mno japo tunapeana moyo kuwa nchi ina amani, nchi ina haki , nchi ina usawa...its not true, we are lying ourselves.

Majeshi na vyombo vya usalama kwa ujumla vinapaswa kulinda masilahi ya wengi.

Lee/Bitoz niwekeeni picha wakuu

Transcend.
Apumzike kwa Amani Edward Moringe Sokoine..hekima zako zinadumu milele
Asante sana kwa nukuu mkuu Transcend elimu nzuri ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom