fakalava
JF-Expert Member
- Jul 16, 2015
- 4,459
- 6,030
Bukheri wa afya kabisa, vipi wewe?Habari zenyu ndugu zangu wapendwa, niwatakie siku njema yenye baraka tele
Bukheri wa afya kabisa, vipi wewe?Habari zenyu ndugu zangu wapendwa, niwatakie siku njema yenye baraka tele
Nice what boss?Have a nice Clkey..
Apumzike kwa Amani Edward Moringe Sokoine..hekima zako zinadumu mileleNUKUU YA LEO
In counrty caring justice and equality , hosts must be an instrument to protect rights of the majority and never allow that instrument of few caring to themselves and forget the interest of the majority.
"Katika nchi inayojali haki na usawa, majeshi hayana budi yawe ni chombo cha kulinda haki na maslahi ya walio wengi. Na kamwe hayaruhusiwi kuwa ni chombo cha wachache wenye kujali nafsi zao na kusahau maslahi ya walio wengi"
Maneno haya yalipatwa kutamkwa na Aliyekuwa Waziri mkuu wa 2 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bw. Edward Moringe Sokoine aliyezaliwa 01/08/1938 na kufariki tare 12/4/1984
Sokoine alifariki akiwa na miaka 45, kwa ajali ya gari mkoani morogoro katika eneo la Dakawa.
Sokoine alikiwa ni kiongozi shupavu, mwenye kujali haki, mwenye kujali maslahi ya wengi na mwenye kupenda watu..
Ukisoma vizuri hayo maneno ya Sokoine na ukiangalia kinachoendelea nchi sasa hivi utagundua kitu..utaona ukweli wa maneno ya Sokoine..
Tanzania iko mahali pabaya mno japo tunapeana moyo kuwa nchi ina amani, nchi ina haki , nchi ina usawa...its not true, we are lying ourselves.
Majeshi na vyombo vya usalama kwa ujumla vinapaswa kulinda masilahi ya wengi.
Lee/Bitoz niwekeeni picha wakuu
Transcend.
Ubarikiwe mumyHabari zenyu ndugu zangu wapendwa, niwatakie siku njema yenye baraka tele
Por favor proteja a mi esposaAhsante boss
Eti Mama mchungaji na mimi nikatae kuniita mkuu kama Obe?Inawezekana mkuu
Ahsante sana mama mchungajiKaribu sanasana mkuu
DayNice what boss?
Bibi alipita huku akaacha vinasabaFF -NYAGEI![]()
![]()
![]()
![]()
Unapenda nikuite nani?ingawa nimechekaaaa hadi nimeenda kwenye kioo kama alivyotufundisha TEti Mama mchungaji na mimi nikatae kuniita mkuu kama Obe?
Nahisi ni day hapo alisahauNice what boss?
Vipi Nyagei, Kwema?Fakalava
Hahaaa!Unapenda nikuite nani?ingawa nimechekaaaa hadi nimeenda kwenye kioo kama alivyotufundisha T
Namshukuru Allah mie pia cjamboBukheri wa afya kabisa, vipi wewe?
Por favor proteja a mi esposa
Por favor proteja a mi esposa
AmenUbarikiwe mumy
Habari za asubuhi mama wa upako?Karibu
Endelea tu vivyo hivyo mama mchungaji yote ni sawaUnapenda nikuite nani?ingawa nimechekaaaa hadi nimeenda kwenye kioo kama alivyotufundisha T
