Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante mkuu Archduke uwe na usiku mwema ,Mimi na Baba Mchungaji tunakuombea Amani Furaha,Hekima na upendo Mungu akupe mahitaji yako yote sawa sawa na mapenzi yake.Ubarikiwe makaikq walinzi waweke kituo wakuzunguke usiku wote na siku zote za maisha yako
Amina amina mama mchungaji nachokupendea umesimama kiimani, Mungu azidi kukupa hekima na utashi daima, salimia familia na ulale salama nawafunika kwa damu ya yesu kristo wa Nazareti amina
 
Sasa naanzaje kusema yes wakati sijaelewa bado?

We huyo Bashite wako ulienifanqnisha nae mwambie akutaftie mke
Bashite ameleta shida gani tena kwa valentina, jamani huyu mtu mwenye ili jina ajitokeze hawezi vuruga mambo ya watu namna hii kitaifa, kimkoa, kiwilaya, kitarafa, kijiji, kikata na sasa kifamilia nimemkosa valentina kisa eti anasema bashite sio mtu wakufananisha nae nimekoma, sasa valentina wewe kiroho ni baby wangu ila kimwili ni shemeji
 
Ni kwann watu wanahis Ar wanawake ni wakorofi lkn , lkn pia kwa hyo picha Ar pana baridi kma kipindi hiki kwa hyo usivae sweta ama koti kisa waenda kutana na mtu kesho ukiumwa kifua kisa fasheni itakuwaje? Mtuache bwana masela wetu wanatukubali mbona labda nyie wa mikoani
Hahahaaaa!


Naona umeamua kuwapa za uso kabisa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom