Makapuku Forum

Makapuku Forum

Pia fikiria iwapo Waafrika tungekuwa weupe halafu wazungu weusi
*Tungeambiwa binadamu wa kwanza alikuwa nguruwe na hadi mafuvu tungeoneshwa
*Rangi nyeupe ni ishara ya huzuni, nyeusi amani
*Kuanzia Yesu hadi Adam wotewangechorwa weusi tii

Wazungu wametuzidi tu ujanja ndio maana wakaja kututawala badala ya sisi kwenda kuwatawala coz walitafiti wakagundua uwezo wetu mdogo wa kufikiri
......
Na ndipo wakatubatiza dark continet
 
Dada banah, unapenda kukimbilia central
f4ff888d179ef4e653ac7cfca56ebde7.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom