AmeeenTuombe:Mtakatifu Baba Mungu wetu ,tunajitakasa mbele zako siku hii ya leo tunaomba utusamehe makosa yetu yote tuliyotenda kwa mawazo ,kwa maneno, kwa matendo tunakushukuru Mungu wetu kwa kutufikisha leo wengine hawakuweza kufika siku ya leo achilia kiu ya kukutafuta wewe siku zote tutenge na anasa nguvu za giza marafiki wabaya tunawaombea vijana wasio na ajira waliokata tamaa,achilia tumaini,achilia mipenyo ya ustawi katika ndoa, mahusiano biashara,maofisi ,familia Tunawaombea wasafiri wafiwa wagonjwa,wafanyakazi ,watoto, wajawazito ,wazazi, wakimbizi,wafungwa na wengine wote wenye mahitaji yao binafsi Tunashukuru Bwana maana unajibu maombi yetu yote shetani hana nafasi tena katika jina la Yesu Damu ya Yesu itutakase Karibu Roho Mtakatifu Msaada wetu siku zote za maisha yetu Amen[emoji120]
T mpenzi wangu, naamini umeamka salama mume wangu...Kipepeo wangu...
Malaika wa T
Mke wa ndoto zangu
Sakafu ya moyo wangu
Nakupenda mke wangu...
I love you ! [emoji173][emoji173][emoji173]
Uwe na njozo njema...! I am beside you..
Karibu sana[emoji120]Asante mama mchuchu
Amen dear ubarikiwe uwe na siku njema yenye baraka[emoji120]Wanafamilia natumai mmeamka salama, ni jumatano nyingine iliyo kubalika machoni mwa Bwana. Tuitumie vyema nasi tutabarikiwa
Dogo unayo ndele ?.Akuuuu mm sio mshirikina bali natumia miti aliyoumba Mungu..
Nawe pia mkuuUsiku mwema wadau
nawe piaMorning wakuu muwe na siku njema aiseee
AmenKESHO YANGU NI NZURI
YEREMIA 29:11
Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi asema BWANA,ni mawazo ya AMANI wala si mabaya ,kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.
[emoji117] Tukimtegemea Bwana katika Roho na kweli hakika kesho zetu zitakuwa zenye thamani sana mbele zake.
[emoji117] Usichoke ndugu Ebu kaza mwendo ,upate kufika mbinguni
[emoji117] Mungu wetu ni wa kila kitu.
Mungu atusaidie sana Tumpende ,Tumheshimu,Tumtegemee maana daima anatuwazia mema...mbarikiwe sana.[emoji120]
Amen mungu atupe kibali cha kuendelea kuionaWanafamilia natumai mmeamka salama, ni jumatano nyingine iliyo kubalika machoni mwa Bwana. Tuitumie vyema nasi tutabarikiwa
Safi kwema mkuu?Habari zenu makamanda
Asante mtumishiTuombe:Mtakatifu Baba Mungu wetu ,tunajitakasa mbele zako siku hii ya leo tunaomba utusamehe makosa yetu yote tuliyotenda kwa mawazo ,kwa maneno, kwa matendo tunakushukuru Mungu wetu kwa kutufikisha leo wengine hawakuweza kufika siku ya leo achilia kiu ya kukutafuta wewe siku zote tutenge na anasa nguvu za giza marafiki wabaya tunawaombea vijana wasio na ajira waliokata tamaa,achilia tumaini,achilia mipenyo ya ustawi katika ndoa, mahusiano biashara,maofisi ,familia Tunawaombea wasafiri wafiwa wagonjwa,wafanyakazi ,watoto, wajawazito ,wazazi, wakimbizi,wafungwa na wengine wote wenye mahitaji yao binafsi Tunashukuru Bwana maana unajibu maombi yetu yote shetani hana nafasi tena katika jina la Yesu Damu ya Yesu itutakase Karibu Roho Mtakatifu Msaada wetu siku zote za maisha yetu Amen[emoji120]
Amiiiinaaaaaa ...Tuombe:Mtakatifu Baba Mungu wetu ,tunajitakasa mbele zako siku hii ya leo tunaomba utusamehe makosa yetu yote tuliyotenda kwa mawazo ,kwa maneno, kwa matendo tunakushukuru Mungu wetu kwa kutufikisha leo wengine hawakuweza kufika siku ya leo achilia kiu ya kukutafuta wewe siku zote tutenge na anasa nguvu za giza marafiki wabaya tunawaombea vijana wasio na ajira waliokata tamaa,achilia tumaini,achilia mipenyo ya ustawi katika ndoa, mahusiano biashara,maofisi ,familia Tunawaombea wasafiri wafiwa wagonjwa,wafanyakazi ,watoto, wajawazito ,wazazi, wakimbizi,wafungwa na wengine wote wenye mahitaji yao binafsi Tunashukuru Bwana maana unajibu maombi yetu yote shetani hana nafasi tena katika jina la Yesu Damu ya Yesu itutakase Karibu Roho Mtakatifu Msaada wetu siku zote za maisha yetu Amen[emoji120]
Asante shemu kwa kuyapitiaLee Asante kwa magazeti shem wangu
AmeeeeeniiiiWanafamilia natumai mmeamka salama, ni jumatano nyingine iliyo kubalika machoni mwa Bwana. Tuitumie vyema nasi tutabarikiwa
Mkuu uko poa?nawe pia
Kwema kiongoziiiHabari zenu makamanda