Makapuku Forum

Ameeen
 
KESHO YANGU NI NZURI

YEREMIA 29:11

Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi asema BWANA,ni mawazo ya AMANI wala si mabaya ,kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.

Tukimtegemea Bwana katika Roho na kweli hakika kesho zetu zitakuwa zenye thamani sana mbele zake.
Usichoke ndugu Ebu kaza mwendo ,upate kufika mbinguni

Mungu wetu ni wa kila kitu.

Mungu atusaidie sana Tumpende ,Tumheshimu,Tumtegemee maana daima anatuwazia mema...mbarikiwe sana.
 
Amen
 
Asante mtumishi
 
Amiiiinaaaaaa ...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…