Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,495
- 35,288
Alikuja kuwapa hi! Mambo ya pasakaNi juzi jumapili
Alikuja kuwapa hi! Mambo ya pasakaNi juzi jumapili
Maana yake?sio geni ni neno la kilingala
DuuhMakubwa. Na wewe umeanza kuwa na wivu naye kama yule bingwa wa wivu? Unalipwa au unaifanya kazi hii bure? Au nawe umeonjeshwa asali na sasa uko tayari kuchonga mjinga?
Sawa mmarekaniThis little fat kid (in senator John McCain's voice) anacheza na moto. Vibomu vyenyewe vya nyuklia havifiki hata vitano na hajawa hata na delivery system ya kueleweka lakini makelele kibao. Trump mwenyewe fyatu huyu anaweza kweli kufanya aliyofanya Harry Truman kwa Hiroshima na Nagasaki. Dunia nzima haitakuwa salama!
C.E.O much respect to yaa!Yupo sema mishe tu
Fanya kazi yako inspectorWasimtongoze mbele yangu aisee bwana shimba
Habari yako mzee wa poli
Pamoja sanaC.E.O much respect to yaa!
...atomboke...? Ni neno geni hili ama? Yaani kulitaipu mtu inabidi uwe macho kweli kweli kwa sababu kosa kidogo tu waweza kujikuta ushaandika tusi!
mkuu umeninenea aisee
Thawa mkuuMfuate PM halafu uje ulete mrejesho![]()

MmmmhAndika vizuri
ni kufoka au kuongea sanaMaana yake?
Naanzaje kuogopaMkuu au utaogopa kusaplai
Iyo kazi nilipewa ww hakuna wakumla mzigo hapoHata sikuelewi. Unamlinda ili iweje? Acha watu wale mzigo bana...
Umeanza kuajiri walinzi sasa. Kuoa mwanamke famous napo shida tupu. Utaajiri walinzi sana lakini jamaa kula watakula tu. Mlinzi mwenyewe Shedede? Mwenyewe alikuja hapa na spidi kali akimtaka Shunie leo ndo kageuka inspector. Anyway, kuchapiwa ni siri ya ndani mkuuFanya kazi yako inspector



sijui ndio ile mwanaume hutakiwi kuwa mbabe kwa mwanamke inafanya kazi nimewaza tu hapa




Mkubwa tuheshimianeMakubwa. Na wewe umeanza kuwa na wivu naye kama yule bingwa wa wivu? Unalipwa au unaifanya kazi hii bure? Au nawe umeonjeshwa asali na sasa uko tayari kuchonga mzinga?
Hahhah worry outFanya kazi yako inspector
Si ajabu we mwenyewe ndo unamla!Iyo kazi nilipewa ww hakuna wakumla mzigo hapo



Mkuu usituchonganishe na bossUmeanza kuajiri walinzi sasa. Kuoa mwanamke famous napo shida tupu. Utaajiri walinzi sana lakini jamaa kula watakula tu. Mlinzi mwenyewe Shedede? Mwenyewe alikuja hapa na spidi kali akimtaka Shunie leo ndo kageuka inspector. Anyway, kuchapiwa ni siri ya ndani mkuu![]()

Huo ushetani mi siwezi fanyaSi ajabu we mwenyewe ndo unamla!![]()