Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahhahaha sijakuona muda sana ulifichwa na nani mkuu, shunie namuona namuona Shilawadu Shilawadu ubuyu ubuyu, sitaki kujua mliishia wapi kwenye safari ile ya kutafuta uokovu, ila sio mbaya naona yupo kwenye mikono salama ryt now
Mkuu, hiyo ya safari ni historia ndefu, kuichuguza ni kama kuyafukua makaburi. Longtime sijaonekana kwenye Jukwaa letu pendwa, vipi unaenda kuwaona kondoo wa huko.
 
Shunie leo unaniambia hivy sawa tu labda usije kulee ambapo lee hayupo
Kumbe tupo wengi tuliosalitiwa, hata mimi Sakayo leo kaniambia hanikumbuki kabisaa kisa kapata kipya nimenawa mkono kwa kweli nimelia kimya kimya yani nimemkuza kiimani, tumekua tukisali wote yaniii naomba kwaresima iendelee tu maana wasaliti wapo bado
 
Mkuu, hiyo ya safari ni historia ndefu, kuichuguza ni kama kuyafukua makaburi. Longtime sijaonekana kwenye Jukwaa letu pendwa, vipi unaenda kuwaona kondoo wa huko.
Mkuu kwaresima nilitoka kidogo ila nitarudi maana vijana huwa mnaletaga vitu adimu huwa vinanifundusha utundu kidogo nikikaa na mama yenu basi raha sana
 
Kumbe tupo wengi tuliosalitiwa, hata mimi Sakayo leo kaniambia hanikumbuki kabisaa kisa kapata kipya nimenawa mkono kwa kweli nimelia kimya kimya yani nimemuza kiimani, tunekua tukisali wote yaniii naomba kwaresima iendelee tu maana wasaliti wapo bado
Hahaaaa mm mwenyewe Sakayo alinikubalia kabisa ile nataka nimtambulishe huku kumbe mr T kashamnasa..
Nimebaki kumwita shem .ila nikikumbuka mistar niliyotiririka roho inauma..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom