Pole mzeeSiku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
Ni km wanavyohangaishwa na Dogo Mapanki wa North Korea nusu karne sasa wanapiga mikwara tu hawathubutu hata kurusha nyanya tu huko KoreaHuyu jamaa alikuwa kichwa balaa...huyu ndio mtu aliyeweza kuvuka vikwazo vya US tuu...
Watu kama kina Noriega walitiwa mikononi ili hali walitrainiwa na us..
Ila fidel alikuwa intellijensia kubwa sana US ..
Us walishamplant hadi mchumba wake wa zamani akampige Fidel risasi...it didn't work
Jamaa alikuwa chuma cha pua..
Ahsante mkuuHappy Birthday to You too mkuu Nyagei sikujua ni yako pia Mungu akupe maisha mrefu,hekima na mafanikio ubarikiwe
Ahsante mkuuPole mzee
Pole sana kaka...Siku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
Pole sanaSiku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
Ahsante bossPole sana kaka...
Mungu awape familia uvumilivu na amani ktk kipindi hiki cha mpito
Hapana ni watu wa MaraPole sana
Na ww ni mtu wa Mbeya? duh nimepamiss
....
Pamoja mkuuHabari za asubuhi wanafamilia?.....natumaini Mungu kawaamsha salama salmini na mlisherehekea Pasaka salama.....nawatakia siku njema
Pole sana mkuuSiku ya jana ilianza vizuri sana ila ilikwisha vibaya mno, baada ya kufurahia siku ya Chaplin na my lovely son + ushindi wa United, wakati namquote Madame S kuhusu Pongezi nilipokea simu toka kwa Mama na kunipatia taarifa ya msiba Dada yangu amefariki huko Mbeya so ndugu zangu nitakuwa nanyi kwa vipindi tu humu ili kushughulikia pumziko la dada.
OKHapana ni watu wa Mara
Yeye ndiye alikuwa anaishi kule
Duuh, afu North korea juzi ameshindwa kufanya test ya ICBMNi km wanavyohangaishwa na North Korea nusu karne sasa wanapiga mikwara tu hawathubutu hata kurusha nyanya tu huko Korea