Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Kwemaa kabisaHuku kwema mkuu huko je ?
Kwemaa kabisaHuku kwema mkuu huko je ?
Amen mama Mchungaji, nimepokea kwa ImaniMungu wa mbinguni tunakushukuru kwa kutustahilisha kuiona siku ya leo tukiwa wazima na wenye nguvu,asante kwa ajili ya neema hii,tunajikabidhi mikononi mwako,mbariki kila mmoja mahali hapa sawasawa na hitaji la moyo wake,tufundishe njia zako Bwana,tuongoze katika yote tunayoenda kufanya siku ya leo yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa jina lako takatifu, katika jina kuu takatifu lipitalo majina yote jina la Yesu Kristo naomba na kushukuru Amen![]()
DuuuuuhMi nimeamka salama mkuu japo kuna taarifa nimezipta usiku kuwa kwaya ya kijito nyama ya dar imevamiwa hotelini ilipo kuwa imefikia
AtaitikaMsalimie Mr T
Mwisho hatutashika kabisa
AmeeeèeeniìiiiAmen nawe pia ubarikiwe Lee
R.I.P Emma Morano,alikua bado yuko vizuri anakula anaongea ila alisema hawezi kula vitu vigumu akaonesha hana meno kabisa(huku akicheka sana) ,so alikuwa anakula soup na mikate,alikua na furaha sana.jana alioneshwa sana BBC.UF...
![]()
Ndo hivyo mkuu nikitoka hapa nilipo nitafuatilia vizuri maana nimezipa usiku sikuweza kudadisi sanaDuuuuuh
MorningMorning wakuu
Happy Birthday to your son(,better late than never )Mungu ampe maisha marefu awe na hekima na atende yanayompendeza Mungu mbarikiwe sana.Thanks
Although it's my son's birthday also
All the bestNdo hivyo mkuu nikitoka hapa nilipo nitafuatilia vizuri maana nimezipa usiku sikuweza kudadisi sana
Nawe piausiku mwema!
AhaaaaaaaahAkwendwee huko, awaambie wamteke naona anatamani kutolewa marinda

Nawe piaUsiku mwema wandugu
Umeamkeje mkuuNawe pia
KaribuAmen mama Mchungaji, nimepokea kwa Imani
AmenMungu wa mbinguni tunakushukuru kwa kutustahilisha kuiona siku ya leo tukiwa wazima na wenye nguvu,asante kwa ajili ya neema hii,tunajikabidhi mikononi mwako,mbariki kila mmoja mahali hapa sawasawa na hitaji la moyo wake,tufundishe njia zako Bwana,tuongoze katika yote tunayoenda kufanya siku ya leo yawe kwa ajili ya sifa na utukufu wa jina lako takatifu, katika jina kuu takatifu lipitalo majina yote jina la Yesu Kristo naomba na kushukuru Amen![]()
Wapi huko?je-hali zaoMungu awe upande wao wawe salama kimwili na kiroho , tunaomba utupe taarifa kamili,tunawaombea usalama na uzima damu ya Yesu iwafunikeMi nimeamka salama mkuu japo kuna taarifa nimezipta usiku kuwa kwaya ya kijito nyama ya dar imevamiwa hotelini ilipo kuwa imefikia

Mbeya hii mkuu nikitoka hapa nilipo nitaleta taarifa kamili hali zao ziko vizuri ila wameporwa vituWapi huko?je-hali zaoMungu awe upande wao wawe salama kimwili na kiroho , tunaomba utupe taarifa kamili,tunawaombea usalama na uzima damu ya Yesu iwafunike![]()