Aah SakayooooLove
Na Mimi nipo jaman khaa!!!Nimepamis humu yuko wapi mondray wangu jaman
Hahahaaaa Kali hiyo
Ashukuriwe Mungu aliye juu,tunamshukuru kwa uponyaji unaondelea..pole sana na endelea kumshukuru Mungu kwa matendo yake makuuJana nimeanza mazoezi ya kukimbia ...aise MUNGU mkubwa

Nilikua nauguliwa sasa hatujambo,namshukuru MunguMama umepatwa na nn!?

Amen Ijumaa kuu njema kwako pia ubarikiweIjumaa njema Makapuku. Maandalizi mema ya sikukuu

Mauaji mpaka lini?hivi kweli wauaji hawajulikani?inaumiza sanasan Mungu aingilie kati jambo hili linaumiza familia na jamii kwa ujumla
maana hatupendi ukweli
Amen Ijumaa kuu njema kwako pia ubarikiwe![]()
KIMENUKA KWELI..HATARI
So bad,lazima hatua za makusudi zifanyikeUdaku ...![]()
Amen,niko sawa asante kwa kuniwazia mema,ubarikiweAmen.
Hoping uko poa sasa, uko mawazoni kwangu

Una tatizo gani dadanguAsante sana,asanteni sana kwa maombi na dua zenu mbarikiwe