Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hahahaa...naenda kuedit kakaUsitutishe hivyo kusema mambo ya kutisha au kwa kuwa ulikuwa Sudan boss.
BTW haya matukio yanahatarisha maisha ya wasio na hatia
Hahahaa...naenda kuedit kakaUsitutishe hivyo kusema mambo ya kutisha au kwa kuwa ulikuwa Sudan boss.
BTW haya matukio yanahatarisha maisha ya wasio na hatia
Well piga kazi Shunie apate furahaNoooo nipo site napambana na zege
Tayari nishaedit mkuu..
Aiseeeeeh kwa hiyo furaha inategemeaa uwepo wa kaziWell piga kazi Shunie apate furaha

Hayupo online kwa sasa ila mida yake ya moja usiku utamuonaTayari nishaedit mkuu..
Afu mwambie sakayo anavyofanya kwa mmewe sio...
Yaani anagonga like tuu leo hataki nimuone kabisaaaa..
Katibu katibu upo chaka unazisaka so kazi ipo mkuu wewe piga tu kazi Soudy yupo analinda Mali yakoAiseeeeeh kwa hiyo furaha inategemeaa uwepo wa kazi![]()
![]()
![]()
Umehariri wapi boss?Tayari nishaedit mkuu..
Afu mwambie sakayo anavyofanya kwa mmewe sio...
Yaani anagonga like tuu leo hataki nimuone kabisaaaa..
Kazii inapigwa haswa apa nina dakika 20 za poooo...baadae kupandisha zege mpaka kiuno kiwake motoKatibu katibu upo chaka unazisaka so kazi ipo mkuu wewe piga tu kazi Soudy yupo analinda Mali yako
Angalia usije kuteguka tuKazii inapigwa haswa apa nina dakika 20 za poooo...baadae kupandisha zege mpaka kiuno kiwake moto
Zimepungua..nilikua nawagonjwa serious wawili Muhimbili na hospital nyingine namshukuru Mungu mmoja ameruhusiwa jana Wa Muhimbili saa hizi ndio tunakamilisha kutoka,asanteni sana kwa maombi Mungu awabarikiChangamoto zimekwisha?
Niko makini mwekahazina ...Angalia usije kuteguka tu
Tunashukuru mama mchungajiZimepungua..nilikua nawagonjwa serious wawili Muhimbili na hospital nyingine namshukuru Mungu mmoja ameruhusiwa jana Wa Muhimbili saa hizi ndio tunakamilisha kutoka,asanteni sana kwa maombi Mungu awabariki
Amen,Asante sana..ubarikiweTunashukuru mama mchungaji
Nanyi Mungu azidi kuwapigania na kuwajazeni nguvu katika kipindi hiki kigumu
Karibu sanaThanks mom
Na kioo hakikuwapo hapoo