UPDATE ZA TRANSCEND
Rais wa korea kaskazini kim jung-un akizindua wa ujenzi wa makazi huko Ryomyong katik jiji la Pyongyang.
Rais wa korea kaskazini kim jung-un alipowasili kwa ajili ya uzinduzi wa ujenzi wa nyumba za makazi huko Ryomyang jijini pyongyang leo
Eneo linalo aminika kuwa kuna majaribio ya kombora la nyuklia litafanyika jumamosi hii. Kumekuwa na shunguli ngingi sana kwa siku za hivi karibuni.
Russia wako upande wa N.korea wakipinga mashambulizi ya marekani zidi ya syria na N.korea
China wako upande wa wamarekani tayari...na baadhi ya mataifa ya Nato.
Vuguvugu linaendelea huko asia...
Hii weekend inaweza kuwa na matukio ya kutisha.