Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kirar...
564027381f171cc585034e797936ba16.jpg
a5371852225101db220e7b82db31588a.jpg
Duh
 
Aksante sana Mkuu.... Ronald zile za kukokota na kukimbiza hivi sasa amepunguza sana ila nahisi utakuwa ndo uzee mwenyewe..... Ila jana amejalibu kuonyesha umahili wake huku akionyesha Dunia bado anaweza kukusaidia timu yake....magoli mawili peke yake sio kazi ndogo tena kwa timu kubwa kama Bayern Munich!!!!

Ni kweli mkuu ,mechi itakuwa ngumu hasa kwa upande wa Munich kuruhusu mabao mawili nyumbani ukijua fika unaenda kumalizia kwenye kelele za wale wahispania ni tatizo kubwa sana

Buyern walichoanza nacho sicho walichomaliza nacho ...apa wataraumiana wenyewe kwa wenyewe zile gang press za pale kati tuwaachie mwalimu na mwanafunzi ila kuumbuana tatzo kubwa sana

Javi Matinez ndo hivo tutafanyaje sasa ...

Ronaldo anajaribu kukwepa kuraumiwa yasije kumpata kama ya ndugu yake yule japo yale makeke yake ya kukusanya kijiji tokea pembeni hatuyaooni kaamuaa aanze kuvizia pale katiii

A.vidal na T.aAlcantara walijitahidi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom