Makapuku Forum

Makapuku Forum

3a328e8e2a59f33ec925ce5c8ebe8756.jpg
Dah
 
1922 - Julius Kambarage Nyerere anazaliwa.

Ni mwasisi na Rais wa kwanza wa Tanzania.

Aliipatia nchi hiyo Uhuru mwaka 1961 kabla ya kuwa Rais mpaka mwaka 1985 alipoamua kung'atuka na kumuachia nchi Ali Hassan Mwinyi.

Anajulikana kama " Baba wa Taifa " au Mwalimu Nyerere kutokana na kazi yake ya kufundisha aliyoifanya kabla ya kuwa Mwanasiasa.

Licha ya kustaafu mwaka 1985 bado aliendelea kuwa mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Tanzania na Afrika kwa ujumla mpaka pale alipofariki mwaka 1999 jijini London alipoenda kwa matibabu.

Kama angelikuwa hai, leo angekuwa anatimiza miaka 95 ya kuzaliwa.
a5147d639b208af165437a87acf35d8f.jpg
9228f8a839eccdd621f79926f192fbf3.jpg
akiwa na Mkapa
ad53e980dcd4559c599ed0fb3ce3b2e1.jpg
akiwa na Mandela
50d879b6d7962ab3db1cda55a6c36c97.jpg
Siku ya uhuru
2c0a773e71ab7b0a8fa7ef4d9ebfd2bb.jpg


Ni upuuzi kumfananisha Pombe na Mwalimu
Alikuwa Man of the people
.....
 
NUKUU YA LEO


The successful man will profit from his mistakes and try again in a different way

Mwanadamu mwenye mafanikio anafaidika kutokana na makosa yake kwa kuwa atajaribu tena kwa namna nyingine
cdf6ea8088f8f655de03f23bac35041d.jpg


Haya maneno yalipatwa kusemwa na mwandishi mashuhuri / mkufunzi wa masuala ya utawala Bw. Dale Carnegie aliezaliwa 24/11/1888 na kufariki 1/11/1955
5da44ec143b3a65d92127f3b33523807.jpg

5345ed5677caa594c0ccff280178afa5.jpg



Dale atakumbukwa kwa kazi zake nzuri juu ya utawala na uongozi wa watu. Hadi leo hii kazi zake zinauzwa na zinatumika vyuoni na sehemu mbali mbali duniani kote.

Moja ya kazi zake nzuri ni How to win friends and influnce people na How to stop worrying and start living

Morning motivational

Ili kufanikiwa ni lazima uwe na mipango, mpango mmoja hautoshi wewe kufanikiwa, hivyo lazima uwe na mpango wa ziada (plan b) .

Siku zote binadamu tunajifunza kwa makosa , unapokuwa na ujasiri wa kujaribu pale unapokosea ndio kufanikiwa kunapokuja..

Usikubali kushindwa hata siku moja. Try again and try again !

Binafsi mimi nimesoma vitabu vyake. Nimejifunza mengi na vimenijenga hata kimtazamo..

Try again! Always try again.

Transcend.
Impressive
 
1978 - Carles Puyol anazaliwa.

Beki na nahodha wa zamani wa Barca na timu ya taifa ya Hispania.

Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha Barca na Spain kilichotikisa soka la Dunia kuanzia mwaka 2008 - 2102 ambapo alitwaa Kombe La Dunia, Kombe la mataifa ya ulaya, ligi ya mabingwa ulaya nk

Mmoja kati ya wachezaji wanaocheza jihadi sana.
beea72fc273682e617c2ec8b54543f09.jpg
51f92a22b009fe544e6319bee85d473e.jpg
6f0d09aed849531d54f65276b0f58d5e.jpg
3fb5423b0c230bb0d556f18e74ac5121.jpg

Takwimu za makombe zinaongea
....
 
1978 - Carles Puyol anazaliwa.

Beki na nahodha wa zamani wa Barca na timu ya taifa ya Hispania.

Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha Barca na Spain kilichotikisa soka la Dunia kuanzia mwaka 2008 - 2102 ambapo alitwaa Kombe La Dunia, Kombe la mataifa ya ulaya, ligi ya mabingwa ulaya nk

Mmoja kati ya wachezaji wanaocheza jihadi sana.
Marekebisho hapo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom