Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Pamoja mkuu..Nukuu imetulia
.....
Pamoja mkuu..Nukuu imetulia
.....
1997 - Tiger Woods anakuwa mchezaji mdogo zaidi kushinda taji la michuano ya Masters.
Imeniachia maswaliKirar...![]()
![]()
Unaendeleaje mama mchungajiAmen asante
1922 - Julius Kambarage Nyerere anazaliwa.
Ni mwasisi na Rais wa kwanza wa Tanzania.
Aliipatia nchi hiyo Uhuru mwaka 1961 kabla ya kuwa Rais mpaka mwaka 1985 alipoamua kung'atuka na kumuachia nchi Ali Hassan Mwinyi.
Anajulikana kama " Baba wa Taifa " au Mwalimu Nyerere kutokana na kazi yake ya kufundisha aliyoifanya kabla ya kuwa Mwanasiasa.
Licha ya kustaafu mwaka 1985 bado aliendelea kuwa mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa katika siasa za Tanzania na Afrika kwa ujumla mpaka pale alipofariki mwaka 1999 jijini London alipoenda kwa matibabu.
Kama angelikuwa hai, leo angekuwa anatimiza miaka 95 ya kuzaliwa.
AbsolutelyTrue
Yes that's why I doMothers are everything,Love them![]()
Money are goodAmazing reactions
za leo nzuri tu, tunaendelea na maisha yetu mambo ya roma na bashite yameishaNjema za leo
Dereva anampeleka abiriaAliyemuelewa kirat...![]()
AmenMuwe na siku njema wapendwa Mungu awabariki![]()
Ungejisikiaje kama ndio ungekuwa ni wewe?Hahaha Nyagei!
Salama mkuumakapukuuu!
za asubuhi jamani,
ImpressiveNUKUU YA LEO
The successful man will profit from his mistakes and try again in a different way
Mwanadamu mwenye mafanikio anafaidika kutokana na makosa yake kwa kuwa atajaribu tena kwa namna nyingine
![]()
Haya maneno yalipatwa kusemwa na mwandishi mashuhuri / mkufunzi wa masuala ya utawala Bw. Dale Carnegie aliezaliwa 24/11/1888 na kufariki 1/11/1955
![]()
![]()
Dale atakumbukwa kwa kazi zake nzuri juu ya utawala na uongozi wa watu. Hadi leo hii kazi zake zinauzwa na zinatumika vyuoni na sehemu mbali mbali duniani kote.
Moja ya kazi zake nzuri ni How to win friends and influnce people na How to stop worrying and start living
Morning motivational
Ili kufanikiwa ni lazima uwe na mipango, mpango mmoja hautoshi wewe kufanikiwa, hivyo lazima uwe na mpango wa ziada (plan b) .
Siku zote binadamu tunajifunza kwa makosa , unapokuwa na ujasiri wa kujaribu pale unapokosea ndio kufanikiwa kunapokuja..
Usikubali kushindwa hata siku moja. Try again and try again !
Binafsi mimi nimesoma vitabu vyake. Nimejifunza mengi na vimenijenga hata kimtazamo..
Try again! Always try again.
Transcend.
1978 - Carles Puyol anazaliwa.
Beki na nahodha wa zamani wa Barca na timu ya taifa ya Hispania.
Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha Barca na Spain kilichotikisa soka la Dunia kuanzia mwaka 2008 - 2102 ambapo alitwaa Kombe La Dunia, Kombe la mataifa ya ulaya, ligi ya mabingwa ulaya nk
Mmoja kati ya wachezaji wanaocheza jihadi sana.
Marekebisho hapo mkuu1978 - Carles Puyol anazaliwa.
Beki na nahodha wa zamani wa Barca na timu ya taifa ya Hispania.
Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha Barca na Spain kilichotikisa soka la Dunia kuanzia mwaka 2008 - 2102 ambapo alitwaa Kombe La Dunia, Kombe la mataifa ya ulaya, ligi ya mabingwa ulaya nk
Mmoja kati ya wachezaji wanaocheza jihadi sana.
Shukrani le dictator Mussolin5Leo Katika Historia:
Niwatakie siku njema.
MorningGoodmorning family.....napita
Vyema kwa kuwa hakuna majeruhi
1983 - Claudio Bravo anazaliwa.
Kipa wa zamani wa Barcelona ambaye kwasasa anadakia Man City na timu ya taifa ya Chile.
Ametwaa Uefa champions league mwaka 2015 akiwa na Barca.