Kwema mkuuHabari makapuku
Aksante Mkuu ...pia nawewe siku iwe mbasharaTuwe na Siku njema wakuu
Asantee mkuuAksante Mkuu ...pia nawewe siku iwe mbashara
Kesh Bayern Munich amekalishwa na RONALDO.....Tusubilie kama atayabadilisha matokeo hayo mechi ijayo japo ni ngumu sana!!!!Asantee mkuu
Kubadili matokeo ni muhimu Bayern kambi popote ila game itakuwa ngumu.Kesh Bayern Munich amekalishwa na RONALDO.....Tusubilie kama atayabadilisha matokeo hayo mechi ijayo japo ni ngumu sana!!!!
Ni kweli mkuu ,mechi itakuwa ngumu hasa kwa upande wa Munich kuruhusu mabao mawili nyumbani ukijua fika unaenda kumalizia kwenye kelele za wale wahispania ni tatizo kubwa sanaKesh Bayern Munich amekalishwa na RONALDO.....Tusubilie kama atayabadilisha matokeo hayo mechi ijayo japo ni ngumu sana!!!!