Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
umenisusa sana au kuna kitu nimekuudhi niambie kaka angu nikuombe msamahaNajaaaaaa
umenisusa sana au kuna kitu nimekuudhi niambie kaka angu nikuombe msamahaNajaaaaaa
Nakupendea hapo tu hadi lee na shedede wanajua..mrudishe ray vanny yule wa kwa mondray ile picha bomba ya picha
Huna ubavu wa kuniudhi weweumenisusa sana au kuna kitu nimekuudhi niambie kaka angu nikuombe msamaha
Utani ambao hauna mipaka sina Mimi ...Khaaaa hivi mambo ya hapa si inakuaga utani jamaan
aisee sijajua naomba tu unisamehe kama nilikukwaza
mmhUtani ambao hauna mipaka sina Mimi ...
Mimi nipo muhimu uzima
Huna ubavu wa kuniudhi wewe
nashkuru kaka ubarikiwe
hiyo yenyeweNakupendea hapo tu hadi lee na shedede wanajua..
2 mkuuuDortmund 0 Monaco 1 dk 2q
Hawa bas tena safari ishawakuta2 mkuuu
We tafuta jipu la ulimiSawa Bodyguard from Beijing ila shunie ndio kioo changu
Aisee![]()
![]()
Ni kweli yy ndo mweusi wa kwanza kuupata
Huyu mwenzake ni cheupe nafikiri ni mzungu au chotara
Ni ugonjwa nadra mtu kuupata hauambukizi wala kujulikana chanzo chake cha uhakika
.....
Statistics zinapishana
Hawezi kukuacha hayo ni mawazo yako ty.naona nimeachika bila kujijua shedede si kwa kuchuniwa huku acha tu
Asitokee mtu akaleta ajenda ya kuweka tochi barabaraniHivi karne hii kuna watu wanasafiri kwa Lori?
Mzee wa kuropoka itakuwa kazoea kuendesha malori ya mifugo Chato
....
Huyu jamaa ni hatari sana
Ninajua nini?Nakupendea hapo tu hadi lee na shedede wanajua..