Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
mondray acha uongo nilikuepo kwenye ule uzi toka mwanzo ww na Rafael mlimuanza wenyeweYeye ndio alikua aikitukana mm nilikua simjibu
mpk nikasema warumi wanakutafutia ban achana nao
mondray acha uongo nilikuepo kwenye ule uzi toka mwanzo ww na Rafael mlimuanza wenyeweYeye ndio alikua aikitukana mm nilikua simjibu
mpk nikasema warumi wanakutafutia ban achana nao
Dadaumefurahiiiii![]()
Hivi shemu ni mweusi eti!hahahhahah
hahahhah nimeshaona NyageiKwani shem hukuona
NdioWakuu ninyi wazimaaa
mrudishe ray vanny yule wa kwa mondray ile picha bomba ya pichaSawa Bodyguard from Beijing ila shunie ndio kioo changu
Mambo ya umbea hayo huwa napita na 180Zile thread huwa napita tuu kwa bahati mbaya..!
Mambo ya kina wema sijui diamond mimi siyawezi..
Mmh mbona wamepewa wote na warumi na thread ilifutwaMbona alikuwepo 15min ago?
Yuko hapaNimeona sakayo akipita...
Mwambieni nimemmiss..
Yana wenyeweHahahaaa,
Majukwaa mengine bhana...![]()
kaka angu shikamoo jaman umenisusa sanaDada
hahahha kwa nn umeuliza hivyo kakaHivi shemu ni mweusi eti!
Najaaaaaakaka angu shikamoo jaman umenisusa sana
Mwaka umeisha ??mm na ww tuna ugomvi jamaan
Inspector Mimi nipoUsiende mbali mamy wako anakuitaji boss amekuqoute mala kazaa na hukujibu nini shida boss?
Paprika anaendeleajeNdio
Khaaaa hivi mambo ya hapa si inakuaga utani jamaanMwaka umeisha ??