Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ok, asante kwa nyongeza.
d7e52d3f7f5dd472d7843b7e64e85daf.jpg
d42d73c0964495b251d2efc60e06e6e1.jpg
Pia kumbukumbu muhimu nyingine ni kwamba Jenerali David Musuguri alikuwa mstari wa mbele kuongoza vita
Ni mmoja kati ya Majenerali wa JWTZ aliyeacha heshima mkubwa
....
 
View attachment 494158

Mkuu Bitoz, naomba uniwekee hapa na ile picha ya geneza alivyobebwa Margareth Thather. Ili kuongezea nyama kwenye Swali langu lifuatalo

Ni kwanini mageneza ya hawa Mabrito yanabebwa kwakutanguliza miguu?

Huwa situnzi picha ninazopost isipokuwa zenye umuhimu tu ndo sizidelete...hivyo hiyo picha sina

Kuhusu swali lako wajuzi watakujibu
.....
 
NUKUU YA LEO

In order to succeed, we must first believe that we can

Ili tuweze kufanikiwa, ni lazima kwanza tuamini kuwa tunaweza

Haya maneno yalipata kutamkwa na mwaandishi, mwanamashairi na mwanafalsafa wa kigiriki Bw. Nikos Kazantzakis. Nikos alizaliwa tar 18/02/1883 na kufariki 26/10/1957 akiwa na miaka 74.

Alizaliwa Ottoman Empire ambayo leo hii inafahamika kama Ukigiriki.

6ad12b9b4b0db1ff23540610732b16f6.jpg


e5934af01b977e5bcc689c0c97dc9d92.jpg


Nikos anakumbukwa kwa kazi zake nyingi kama

Zorba the Greek
Last Temptation n.k


Falsafa ya tuamini kwanza tùnaweza ndio ilikuwa presidential campgain slogan ya Rais mstaafu wa marekani Barack obama mwaka 2008 .

46d80ba4da22fdb894dce2f5ef847d01.jpg

Ni maneno yenye uzito ukiyachambua kwa kina!

Motivational kwetu;

Unapoona jambo kama ni gumu kumbuka hii slogan ya Yes we can! Inakupa nguvu, ari na moyo wa kuona jambo gumu linawezekana.

Believe! You can

Transcend.
 
NUKUU YA LEO

In order to succeed, we must first believe that we can

Ili tuweze kufanikiwa, ni lazima kwanza tuamini kuwa tunaweza

Haya maneno yalipata kutamkwa na mwaandishi, mwanamashairi na mwanafalsafa wa kigiriki Bw. Nikos Kazantzakis. Nikos alizaliwa tar 18/02/1883 na kufariki 26/10/1957 akiwa na miaka 74.

Alizaliwa Ottoman Empire ambayo leo hii inafahamika kama Ukigiriki.

6ad12b9b4b0db1ff23540610732b16f6.jpg


e5934af01b977e5bcc689c0c97dc9d92.jpg


Nikos anakumbukwa kwa kazi zake nyingi kama

Zorba the Greek
Last Temptation n.k


Falsafa ya tuamini kwanza tùnaweza ndio ilikuwa presidential campgain slogan ya Rais mstaafu wa marekani Barack obama mwaka 2008 .

46d80ba4da22fdb894dce2f5ef847d01.jpg

Ni maneno yenye uzito ukiyachambua kwa kina!

Motivational kwetu;

Unapoona jambo kama ni gumu kumbuka hii slogan ya Yes we can! Inakupa nguvu, ari na moyo wa kuona jambo gumu linawezekana.

Believe! You can

Transcend.
Yes you can, if you believe in yourself!!! Nothing is impossible

Asante kwa kutupa motisha chanya!!
 
NUKUU YA LEO

In order to succeed, we must first believe that we can

Ili tuweze kufanikiwa, ni lazima kwanza tuamini kuwa tunaweza

Haya maneno yalipata kutamkwa na mwaandishi, mwanamashairi na mwanafalsafa wa kigiriki Bw. Nikos Kazantzakis. Nikos alizaliwa tar 18/02/1883 na kufariki 26/10/1957 akiwa na miaka 74.

Alizaliwa Ottoman Empire ambayo leo hii inafahamika kama Ukigiriki.

6ad12b9b4b0db1ff23540610732b16f6.jpg


e5934af01b977e5bcc689c0c97dc9d92.jpg


Nikos anakumbukwa kwa kazi zake nyingi kama

Zorba the Greek
Last Temptation n.k


Falsafa ya tuamini kwanza tùnaweza ndio ilikuwa presidential campgain slogan ya Rais mstaafu wa marekani Barack obama mwaka 2008 .

46d80ba4da22fdb894dce2f5ef847d01.jpg

Ni maneno yenye uzito ukiyachambua kwa kina!

Motivational kwetu;

Unapoona jambo kama ni gumu kumbuka hii slogan ya Yes we can! Inakupa nguvu, ari na moyo wa kuona jambo gumu linawezekana.

Believe! You can

Transcend.
asante kwa nukuu ya leo
inanihusu kabisa hii ubarikiwe sana.
 
Thanks
Kawaida tu ila sizitafuti likes kwa nguvu...kumbuka kabla ya huu uzi ninazo thread zaidi ya 20 mojawapo ni sticky jukwaa la utanashati pia jamii photos ninazo thread km 5 ila "hapa vipi?" ndo imebamba....chit chat pia zipo baadhi nimeedit kwa kuzifuta nilichoandika ili zife

Siku hizi nimeacha kuanzisha thread
...........
Nakumbuka sana zile za jamii photo enzi zilee na kina Th Name
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom