Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,429
Kweli text aliyo quote si yke ilikuwa yko
Kweli text aliyo quote si yke ilikuwa yko
Ata ningelikuwa mmkavurugwaaa![]()
WooowBaby ukuje huku...
Nishakupa na jezi kabisaa...!
Jmosi unapata T-shirt og kabisa ya man untd...
![]()
Shunie mpokee dada -anakuja OT
Mwambie ukweli huipendiiWooow
Baby, hamna rangi ingine jamani
UmeonaaaaaaWenge zakee
Hahahaaa!
Kwanini tatizo ni nini?

Smell somethingKaka huwa hagomewi salamu...
Hufanyi fair..
Mdogo wanguhapana aisee kutakua na kitu namjua jovitha
Nitafutieni rangi ingine bhanaakaribie sna
Timu moja yatosha my dearKumbee!
Ayway ngoja mimi niendelee kufundisha mpira...
Wanazo baby...Asante mume wangu
Lakini hawana jezi nyingine??!




Asante ubarikiweNUKUU YA LEO
In order to succeed, we must first believe that we can
Ili tuweze kufanikiwa, ni lazima kwanza tuamini kuwa tunaweza
Haya maneno yalipata kutamkwa na mwaandishi, mwanamashairi na mwanafalsafa wa kigiriki Bw. Nikos Kazantzakis. Nikos alizaliwa tar 18/02/1883 na kufariki 26/10/1957 akiwa na miaka 74.
Alizaliwa Ottoman Empire ambayo leo hii inafahamika kama Ukigiriki.
![]()
![]()
Nikos anakumbukwa kwa kazi zake nyingi kama
Zorba the Greek
Last Temptation n.k
Falsafa ya tuamini kwanza tùnaweza ndio ilikuwa presidential campgain slogan ya Rais mstaafu wa marekani Barack obama mwaka 2008 .
![]()
Ni maneno yenye uzito ukiyachambua kwa kina!
Motivational kwetu;
Unapoona jambo kama ni gumu kumbuka hii slogan ya Yes we can! Inakupa nguvu, ari na moyo wa kuona jambo gumu linawezekana.
Believe! You can
Transcend.
Sikuelewi ujueteh wakina isack wapo wengi
Kama kawaida karibu huku kitaani kwetuu...Pouwa bhana naona mnajiandaa na pasaka,,,,, mambo mubasharaaa mubasharaaa ila jf bhana
Ngoja nitoke tuu humu, naona giza tuuMimi nilikuwa naipenda toka enzi za kina Beckham, zidane huko back ways..
Ila ronald ni kama daraja la man u supporters kuipenda madrid..
Ila hata CR7 anaipenda man u..
Juzi alivyodedicate vile viatu vyake kwa Man untd alisema hivi..
"I am dedicating this to Manchester united, that's my home, thats where i learned the art of football"
HahahaMwambie ukweli huipendii
Sana mkuu..Siasa imeharibu kila kitu mkuu.
Apo ndo utagundua mtu mwenye michepuko kama huyu Mr TUmeonaaaaaa
DaaaahWanazo baby...
Hizi hapa chini..
![]()
![]()
![]()