Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa kuongezea mkuu;

Wakati wa vita, David Msuguri Alikuwa na cheo cha Brigedia Jenerali. Yeye ndio alikuwa kiongozi wa majeshi ya Tanzania katika vita ile.

Makamanda muhimu wakati wa vita ya Kagera ambao waliongoza Brigedi mbalimbali ni kama;

Luteni Jenerali Silas Mayunga a.k.a Mti Mkavu

Luteni Jenerali Imran Kombe ambaye Alikuwa Mkuu wa Intelijensia Jeshini wakati wa vita.
Mapema tu baada ya vita akahamishiwa idara ya Usalama wa Taifa kabla ya kuja kuuwawa baadae kwa kuvujisha siri za nchi kwa Mrema.

Meja Jenerali Chacha Marwa " Kambale "
Huyu na kikosi chake walikutana na battle kali hali iliyomfanya wakimbilie mto Kagera ndani ya maji ili kujipanga upya na ndipo jina la Kambale lilipoibuka.

Meja Jenerali John Walden aka Black Mamba.
Wanasema huyu alikuwa ni chotara hivyo alikuwa kama Mzungu, Brigedi yake ilikuwa moto wakuotea mbali ambayo ilikuwa na vijana wenye morali kubwa sana.
Asieee!

Some memories to keep! Sasa hivi hakuna courage na weledi kwa kizazi kilichopewa vijiti..

Lakini pia vetting na namna ya kupata mashujaa kama hawa hakuna...

Kuna ukakasi uliingia kipindi cha miaka ya 2000 hadi sasa ...umeharibu sana vyombo vya usalama
 
Ona picha za zile klabu za mpira ambazo nilitamani uwe shabiki wake...

Achana na lee...

Waona kwanza man united, timu ambayo mimi nashabikia, mdogo wako anashabikia na mlinzi wako nyagei anashabikia..

22248850843136f69a01103ded92577c.jpg


5b50d5cdf3128f88042c99f069d8e195.jpg


adc128568ff5ece49c31e568bd79675f.jpg


8e367756f770932180da783e1b3ef7dc.jpg


Hiyo ndio club ya manchester united yenye makazi yake katika jiji la manchester..nchini uingereza..

Ni moja ya club kongwe na zenye mafanikio katika soka ..

Kuna wachezaji maarufu kama Wayne Rooney, Ibrahimovic, marcus Rashford, David De Gea na wengine weeeeengi
mashetani wekundu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom