Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hizo man u na Madrid ndo vitu gani
Club za mpira...

Kwanza babu kuna Timu za Taifa afu kuna Club za mpira.

Timu ya Taifa inazaidi ya vikosi 3..

Kuna team kubwa-kwa anijili ya michuano ya kimataifa..

Kuna timu za vijana- Under 21
-under 19
-under 17

Kwenye vilabu vya mpira pia kuna team za vijana na team za watoto pia..
 
Aaaaaah!

Ninyi mnataka kunipangia sasa!

I loved her as i found her..! Mungu na dunia vilishamshape hivi alivyo..

Sitaki kumodify chochote..! Nampenda hivi hivi..otherwise atake yeye
Asante love
Nakupenda pia!!!

Mie nilitaka nijuemo mpira kidogo bhana, hizo posts za Nyagei huwa naona kizunguzungu kuzisoma!! Naishia ku like tu!!
 
Asante mume wangu
Ni vile Nakupenda tuu
Mpira nitakufundisha mimi, afu mdogo wako shunie na nyagei watakuwa wanaongezea ongezea kidogo...

Hapa Tz, sina wasiwasi sanaa maana najua unapenda Yanga ...mimi mmeo ni simba..

Kila nchi kuna ina mashindano ya vilabu vya mpira ( yaani ligi) na pia kuna mashindano ya kimataifa..

Kama sasa hivi hapa Tz kuna team ya serengeti boys -ambao ni U17 hawa wako kambini nchini morocco kwa ajili ya mashindano ya bara la Africa..

So hapa umeshaelewa sasa kuwa kuna vilabu kama simba, yanga, azam,mbao Fc, majimaji mbeya fc. n.k

Lakini pia kuna team ya taifa..
 
Mpira nitakufundisha mimi, afu mdogo wako shunie na nyagei watakuwa wanaongezea ongezea kidogo...

Hapa Tz, sina wasiwasi sanaa maana najua unapenda Yanga ...mimi mmeo ni simba..

Kila nchi kuna ina mashindano ya vilabu vya mpira ( yaani ligi) na pia kuna mashindano ya kimataifa..

Kama sasa hivi hapa Tz kuna team ya serengeti boys -ambao ni U17 hawa wako kambini nchini morocco kwa ajili ya mashindano ya bara la Africa..

So hapa umeshaelewa sasa kuwa kuna vilabu kama simba, yanga, azam,mbao Fc, majimaji mbeya fc. n.k

Lakini pia kuna team ya taifa..
Asante mume wangu!!!
Hizi za Tz sina shaka nazo saana!!!

Shida kubwa inakuja kwenye zile timu za nje jamani!!
 
d7e52d3f7f5dd472d7843b7e64e85daf.jpg
d42d73c0964495b251d2efc60e06e6e1.jpg
Pia kumbukumbu muhimu nyingine ni kwamba Jenerali David Musuguri alikuwa mstari wa mbele kuongoza vita
Ni mmoja kati ya Majenerali wa JWTZ aliyeacha heshima mkubwa
....
Kwa kuongezea mkuu;

Vita vya Kagera: Historia yangu - Sehemu ya kwanza
 
Asante mume wangu
Ni vile Nakupenda tuu
Ona picha za zile klabu za mpira ambazo nilitamani uwe shabiki wake...

Achana na lee...

Waona kwanza man united, timu ambayo mimi nashabikia, mdogo wako anashabikia na mlinzi wako nyagei anashabikia..

22248850843136f69a01103ded92577c.jpg


5b50d5cdf3128f88042c99f069d8e195.jpg


adc128568ff5ece49c31e568bd79675f.jpg


8e367756f770932180da783e1b3ef7dc.jpg


Hiyo ndio club ya manchester united yenye makazi yake katika jiji la manchester..nchini uingereza..

Ni moja ya club kongwe na zenye mafanikio katika soka ..

Kuna wachezaji maarufu kama Wayne Rooney, Ibrahimovic, marcus Rashford, David De Gea na wengine weeeeengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom