Makapuku Forum

Makapuku Forum

2002 - Watu takribani laki mbili wanaandamana katika mji wa Caracas wakishinikiza Rais wa kipindi hiko Hugo Chavez ajiuzulu wadhifa wake.

Takribani watu 19 wanauwawa katika maandamano hayo.

Hugo Chavez mmoja kati ya Viongozi imara na walioisumbua Marekani kwa misimamo yao mikali.
 
1919 - Shirika la Kazi Duniani ( ILO ) laanzishwa huko Geneva nchini Uswizi.
7ef086c6fbf61a5c693368817bf96853.jpg
835bb05a0018443cd613a06653950fc3.jpg
63c5ad70a6587c44ce3a0c432832a4b5.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom