lizziebettie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2014
- 2,873
- 11,966
VipAisee
VipAisee
Na bado hapo, hii ndio couple yenye nguvuUnafaidi hadi napata wivu.
Kuna walozaliwa kwenye mazingira magumu na hatarishi hao ndo ninao wasemea MimiVipofu co mabwege wapo kibao vyuoni wanapiga buku...ombaomba ni hulka ya mtu tu kuna watu hawana miguu lakini wanalisongesha laifu
...............
My shemeji, How r u today?Hahaaa lambeni ndimu
Okay babeThanks love.
Mkuu ilikuwa ni zuga tu watu wasishtuke, ulimi wangu ni mtu balaa, hawa viumbe wakija kwenye maombi..ninapowapa ushauri huwa wanasema wanajuta kuchelewa kuonana nami labda ningefunga nao ndoa, hivi huoni wale waliopotelewa na wenzi wanahisi wako kwangu!Hahahahaaaa... Natamani ungeujua ukweli... We mwenyewe mkeo tulifanya kukusaidia hapa....
Yes I knowKuna walozaliwa kwenye mazingira magumu na hatarishi hao ndo ninao wasemea Mimi
Niko poa shem wanguMy shemeji, How r u today?
Wewe ni wangu, mimi ni wako milele mpenzi wangu.Kunitema hawezi labda tufe

Hivi wewe hali ya young umeiona? We mwenyewe hapo roho juu, mpaka muda huu ata kuku missed call? Usinitafutie jangaOoh samahani. Je ni sababu unavidonda kwenye makanyagio nin!!
Shemeji yangu Patience123 nakusalimu shemji yangu..Sijakuona kabisa siku kadhaa..Jimena nakusalimu kwa busu takatifu popote ulipo
Yes babe mpaka kifo kitutenganishe.Wewe ni wangu, mimi ni wako milele mpenzi wangu.
![]()
![]()
![]()
Namaanisha ni jambo jema la mfano mkuu wangu, upo baba!Mtumishi Gud morning haipaswi kuwa na wivu na shemeji yako bana..
Nashkuru kusikia hivyo..Jana nilikutafuta sana hukupatikana kabisaNiko poa shem wangu
Saa ngap shem? Kama usiku tuliwahi kulala.Nashkuru kusikia hivyo..Jana nilikutafuta sana hukupatikana kabisa
Hakika my love. Kuna watu wana wivu humu aisee. Tatizo walitaka kuigaYes babe mpaka kifo kitutenganishe.
Uuuuuuiiiiii!!!!! Nahrene pia?Mkuu ilikuwa ni zuga tu watu wasishtuke, ulimi wangu ni mtu balaa, hawa viumbe wakija kwenye maombi..ninapowapa ushauri huwa wanasema wanajuta kuchelewa kuonana nami labda ningefunga nao ndoa, hivi huoni wale waliopotelewa na wenzi wanahisi wako kwangu!
Hahaha ucjali tunaisongesha mbele tamthilia ya isidingo the needHivi wewe hali ya young umeiona? We mwenyewe hapo roho juu, mpaka muda huu ata kuku missed call? Usinitafutie janga