Makapuku Forum

Jamani asanteni kwa kunibadilisha mpaka akili aise sio kwa staha na hekima nilionayo saivi

Nikiingia jf chakwanza naangalia makapuku kuna nini? Daah majukwaa kama jamii interijence,siasa za kina bashite , mmu nimesahau mpaka njia ya kuingilia
 
Jamani asanteni kwa kunibadilisha mpaka akili aise sio kwa staha na hekima nilionayo saivi

Nikiingia jf chakwanza naangalia makapuku kuna nini? Daah majukwaa kama jamii interijence,siasa za kina bashite , mmu nimesahau mpaka njia ya kuingilia
Hongera sana na karibu

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…