Makapuku Forum

Aksante Mkuu tutajitahidi
 
Mamamchungaji!!!!! Amina sana... Ahsante pia
 
Tunakupenda mkuu karibu
 
Pamoja mkuu sote ni ndugu
 
Ameen kubwa mama... Na Shukulu na kuona wimbo wangu wa nguvu wa siku zote!!!

MUNGU akubaliki mama mchungaji

MUNGU atubaliki makapuku!!!
 
pamoja sana mkuu
 
::Familia ya baba wa taifa wamkemea Diamond!::
Wamtaka atoe picha ya Mw. Nyerere Kutoka kwenye Uchafu wake...Tanzagiza tulishatoa wito huu...Hapo Chacha!
Na tukasema kama anataka awaweke wauza sura wenzake Bashite na ba wake Pombe
Sema kama anawaheshimu sana basi amweke
Mwakyembe.

Mtoto wa Nyerere amemtaka Diamond aondoe picha ya marehemu baba yake kwenye cover ya wimbo wake Mara moja sababu ni kinyume na sheria za nchi kutumia picha Hiyo, pili baba yake hakuwa mtu wa kukaa kimya watanzania waliponyanyasika kwa njia yoyote ile

Na Diamond nae vipi??
Swali la kizushi lililozagaa kila kona hapa nchini; Je hivi Bashite anampa nini Pombe mpaka hajitambui?
Daudi Albert Bashite anatakiwa awe Gerezani sio ofisini!
[HASHTAG]#pombesiochai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#mwafa[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
Copied from Tanzagiza.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…