Makapuku Forum

Well explained!
 
Wakuu hamjambo nawasalimu kwajina la bwana

Shunie hu mzma wewe naona transcend , shimba wa buyense, mondray wanakunyapia nyapia......
Mi nimeshajitoa mkuu kwa sababu mchuano ni mkali mno. Sijawahi kuona mwanamke anagombaniwa na midume lukuki namna hii. Sijui ana nini huyu Shunie. Kama nilivyosema, mimi nimeamua kuhamishia majeshi Kigali. Couple za hapa ngoja tuziache zipumzike.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…