Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Sio Mimi bhanaaammhsi uliniuliziaga habari zake na lemutuz
Sio Mimi bhanaaammhsi uliniuliziaga habari zake na lemutuz
AhaaaaaaaaaaaaaaahKumbukeni kuna mkutano wa Nape
Ndio washabadili upepo
![]()
![]()
![]()
.....
Tatizo tulilianza sie, kumuweka anko madarakaniSiku zote huwa nasema; ili mtu afe sharti pawe na sababu aidha augue, apate ajali au vinginevyo.
Na ili utawala uanguke sharti pawepo na mambo ya kuchukiza raia, ni kama haya ya akina Roma nk
tatizo alilianza mzee wa kucheka kuminya demokrasiaTatizo tulilianza sie, kumuweka anko madarakani
ulikua sio ww kweliSio Mimi bhanaaa
Una uhakika kuwa Roma amechukuliwa na watawala? Siamini kama watawala ni wajinga kiasi cha kufanya jambo la kijinga namna hii kwa mtu ambaye wala siyo hatarishi katika jamii.Siku zote huwa nasema; ili mtu afe sharti pawe na sababu aidha augue, apate ajali au vinginevyo.
Na ili utawala uanguke sharti pawepo na mambo ya kuchukiza raia, ni kama haya ya akina Roma nk
Baada ya kukosea sie ndo tuna maamuzi ya mwisho...tatizo alilianza mzee wa kucheka kuminya demokrasia
Unaelewa jinsi upelelezi unavyofanyika? Siyo rahisi kama unavyodhani unless kama huyo Roma walikuwa wanajua aliko.Tatizo Polisi hawajielewi
*Hatuna taarifa za ROMA
*Zen tutahakikosha tunampata kabla ya J2
*Halafu eti kaparikana
Mbona hawasemi alikuwa wapi
Wanazingua
......
Ahaaaaaaaaaah kwan kuna ubaya wowoteeNakuona tuuu...
Mara kipenzi shem..
Mara dear
Mara wangu..
Nakuona unapigwa mitama na Bashite..
Jamani niliskip ulionao unini shemnilionao unatosha baba
Teh teh tehAhaaaaaaaaaah kwan kuna ubaya wowotee
kwani hamuaminiani??Ahaaaaaaaaaah kwan kuna ubaya wowotee
Nakuona tuuu...
Mara kipenzi shem..
Mara dear
Mara wangu..
Nakuona unapigwa mitama na Bashite..
muulize boss wako ndio anajuaJamani niliskip ulionao unini shem
Mzee wa kucheka ni mwanasiasa hodari sana lakini hatarishi mno! Naona yale matusi ya kuitwa Mr. dhaifu, Vasco da Gama, Mkwere, Mzee wa mipasho na mengineyo yalikuwa yanamwingia ndiyo maana jioni kabisa katika utawala wake akaamua kutunga na kutia sahihi hii sheria ya makosa ya mtandao tunayohangaika nayo. Halafu tena akageuza gia angani kuhusu mchakato wa katiba mpya baada ya kutumia mabilioni. Angekuwa legend kama angetuachia katiba mpya kwani hata matatizo mengi tunayohangaika nayo leo kisababishi kikubwa ni katiba mbovu inayompa rais madaraka makubwa mno ikiwemo kuteua wajumbe wa tume ya uchaguzi na mengineyo. Nimesema mara nyingi sana kwamba viongozi wetu masikini hata hawaangalii mbele na kuona jinsi watakavyokumbukwa na vizazi vijavyo. Wao wanaangalia maslahi yao na vyama vyao tu. Alipopima upepo na kuona kuwa pengine CCM wasingeshinda uchaguzi 2015 kama ungefanyika chini ya katiba mpya (tume huru ya uchaguzi bila Lubuva wala Jecha) basi akaamua kulitosa taifa ili kulinda chama chake. Na katika kufanya hivyo akapoteza nafasi nzuri sana ya kuwa mmojawapo wa viongozi bora kabisa tuliowahi kuwa nao. Inasikitisha sana!tatizo alilianza mzee wa kucheka kuminya demokrasia
umemdadavua vizuri mzee wa kuchekaMzee wa kucheka ni mwanasiasa hodari sana lakini hatarishi mno! Naona yale matusi ya kuitwa Mr. dhaifu, Vasco da Gama, Mkwere, Mzee wa mipasho na mengineyo yalikuwa yanamwingia ndiyo maana jioni kabisa katika utawala wake akaamua kutunga na kutia sahihi hii sheria ya makosa ya mtandao tunayohangaika nayo. Halafu tena akageuza gia angani kuhusu mchakato wa katiba mpya baada ya kutumia mabilioni. Angekuwa legend kama angetuachia katiba mpya kwani hata matatizo mengi tunayohangaika nayo leo kisababishi kikubwa ni katiba mbovu inayompa rais madaraka makubwa mno ikiwemo kuteua wajumbe wa tume ya uchaguzi na mengineyo. Nimesema mara nyingi sana kwamba viongozi wetu masikini hata hawaangalii mbele na kuona jinsi watakavyokumbukwa na vizazi vijavyo. Wao wanaangalia maslahi yao na vyama vyao tu. Alipopima upepo na kuona kuwa pengine CCM wasingeshinda uchaguzi 2015 kama ungefanyika chini ya katiba mpya (tume huru ya uchaguzi bila Lubuva wala Jecha) basi akaamua kulitosa taifa ili kulinda chama chake. Na katika kufanya hivyo akapoteza nafasi nzuri sana ya kuwa mmojawapo wa viongozi bora kabisa tuliowahi kuwa nao. Inasikitisha sana!
By the way, hujambo Shunie? Nipo! Tupo!
sijambo mm za ww musukuma kolomije wanasemajeKoromije tupo ila hali ya chakula siyo nzuri. Na Ngosha alishasema kuwa asiyetaka kula basi afe. Tupo!umemdadavua vizuri mzee wa kuchekasijambo mm za ww musukuma kolomije wanasemaje
Una uhakika kuwa Roma amechukuliwa na watawala? Siamini kama watawala ni wajinga kiasi cha kufanya jambo la kijinga namna hii kwa mtu ambaye wala siyo hatarishi katika jamii.
Siasa ni mchezo wa kucheza na akili za watu. Sitashangaa kama mambo haya yanafanywa na kikundi fulani cha watu ambacho wala hakifungamani na watawala ili kuigombanisha na watawaliwa. Binafsi sikufurahishwa jinsi suala la Ben Saanane lilivyoshughulikiwa na mabosi wake huko chamani. Yaani ilikuwa kama vile kondoo kapotea na siyo mtumishi mtiifu mwenhe cheo cha Mwenyekiti wa Sera na Utafiti wa chama.
Yote kwa yote hata kama watawala hawahusiki, hawawezi kukwepa lawama kwa sababu ni wajibu wao kulinda raia na mali zao. Na siamini kama kweli TISS na vyombo vingine vya dola wameshindwa kujua walipo watu hawa. Ndiyo maana ni haki watu kuamini kuwa pengine watawala wanahusika.
Na kinachonishangaza zaidi ni jinsi serikali hii isivyojali. Haina hata ile dhana muhimu ya "political capital" - kutumia matukio kujiimarisha kisiasa na kufahamu kuwa tukio dogo tu linaweza kuwa na madhara makubwa sana kisiasa. Inashangaza sana!
Huyo jamaa kwangu hana credibility yo yote na naamini kuwa pengine ana matatizo ama ya kisaikolojia au zaidi ya hapo. Na katika hii serikali kuropoka ni kawaida. Kila mmoja anataka atoe mropoko wenye kuvuma zaidi ya mwingine. Na huyu kwa vile anajua kuwa hawezi kuguswa hata aropoke vipi basi kuropoka anaropoka kweli.Nitakurudia, lakini endelea kuitafakari kauli hiii(tutampata Roma kabla ya jumapili by Makonda)