Makapuku Forum

Saa ngap shem? Kama usiku tuliwahi kulala.
Yap ilikuwa usiku hivi ila ilikuwa ni winetalk kiasi kwamba kwa sasa wine ishaisha kichwani hivyo sikumbuki hata nilichokuwa nataka kukuambia japo nakumbuka niliomba kibali kwa ndugu yangu Th Name cha kuongea na wewe wacha nikikumbuka jion hii baada ya kupiga 1,2 ntakuambia tu..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…