sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Teh nawewe mmoja wapo...watu humu ndani wanapenda sana kuulizia wake za watu
Teh nawewe mmoja wapo...watu humu ndani wanapenda sana kuulizia wake za watu
Hilo shem langu la ukweli ana ni admire balaaUuuuuuiiiiii!!!!! Nahrene pia?
Mungu wangu!Ukamcheki hospitali mkuu isje ikawa toyo walimsukuma
Mtumishi usimpe pressure mwenzako
Sijui niamue lipi sasa!Ametekwa na majambazi


Huyu mchovu aoe nani!Teh nawewe mmoja wapo...
Bora tuachane nijue moja.Mmmmh pole sana. Sasa umechukua hatua zipi?
Nimekuelewa vizur sana shemeji yangu...Namaanisha ni jambo jema la mfano mkuu wangu, upo baba!
Hataweza!Hakika my love. Kuna watu wana wivu humu aisee. Tatizo walitaka kuiga
Tulikuwa shoping unajua kijana wangu th name bado hana pesa ya kutosha kumudu hiki kifaaNashkuru kusikia hivyo..Jana nilikutafuta sana hukupatikana kabisa
Nahisi umepotea njia, pita hukuForum imepungua speed..mkifikisha 20k replies nitarudi kuwasalimu.

Yap ilikuwa usiku hivi ila ilikuwa ni winetalk kiasi kwamba kwa sasa wine ishaisha kichwani hivyo sikumbuki hata nilichokuwa nataka kukuambia japo nakumbuka niliomba kibali kwa ndugu yangu Th Name cha kuongea na wewe wacha nikikumbuka jion hii baada ya kupiga 1,2 ntakuambia tu..Saa ngap shem? Kama usiku tuliwahi kulala.
Ni kweli honey wanguHataweza!
Tuwapotezee babe!Ni kweli honey wangu
Hajafa lakini usiogope leo mtaonanaMungu wangu!
Sijui niamue lipi sasa!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nahrene amefanya niniUuuuuuiiiiii!!!!! Nahrene pia?
Umeona eeHataweza!