Makapuku Forum

Makapuku Forum

Katiba inasema all people are equal.....Hapo Makondakta anataka kuondoa ombaomba mjini sasa wao wanapinga kwa madai kwamba wana HAKI ya kuendelea kuwepo
...............
Ooooo!!!!!! Asante mkuu.Kama wana uwezo wa kupinga basi pia uwezo wa kufikiri na kutafuta hela kwa njia nyingine wanayo. Ila walemavu wa macho wangefikiriwa namna ya kuwezeshwa
 
Ooooo!!!!!! Asante mkuu.Kama wana uwezo wa kupinga basi pia uwezo wa kufikiri na kutafuta hela kwa njia nyingine wanayo. Ila walemavu wa macho wangefikiriwa namna ya kuwezeshwa
Vipofu co mabwege wapo kibao vyuoni wanapiga buku...ombaomba ni hulka ya mtu tu kuna watu hawana miguu lakini wanalisongesha laifu
...............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom