Makapuku Forum

Makapuku Forum

Madame sikupata kujua kabsa...sasa leo nimefunguliwa!!
Mwezi wa tatu tu nilimkuta mtoto wa miez sita hospitali,anateseka sana sana mama ni binti mdogo,mume kakimbia so sad wamama tuwaombee sana maana kukimbiwa wakati wa changamoto kama hz kupo hasa ukipata watoto wenye mapungufu ya viungo..Au ubongo Mungu atusaidie sana kuwa na huruma
 
JE WAJUA?
Mti ambao Isaac Newton alipongundulio Gravity bado mzima nje ya nyumba aliyokua anaishi utotoni.
6b9bbc57de996a6451e1e3de6758fc38.jpg

ea67828f8fc726cd595dd9077c5720e3.jpg

3609cc0c1b056a8916a92f10e0eccbbd.jpg

348b5e253575e160f0727f277d0e1665.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom