Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Broh!Mtumishi ubalikiwe na hasa kwa kuweza kutoa neno lenye uhai!!
R.I.P the late father of our nationNUKUU YA LEO
There is no time to waste. We must either unite now or perish.
Hakuna muda wa kupoteza, lazima tuungane ama tuangamie
Haya maneno yalipata kusemwa na Mwalim. Julius Kambarage Nyerere, muasisi na baba wa taifa la Tanzania.
Mwal. Jk nyerere ndio aliyeongoza vita ya kupigania uhuru wa Tanganyika na baadaye kuwa Tanzania.
Mwal. Atakumbukwa kwa mchango wake ktk kupigania uhuru wa nchi za Africa hasa nchi za kusini mwa jangwa la sahara..
Ukweli wake, kupenda haki, utu wake, na maadili yake yameendeea kuwa kama nembo ya utambulisho kwa Taifa la Tanzania.
Mwalimu amepokea zaidi ya tuzo 12 kwa mchango wake ktk mataifa mbalimbali, aliongoza tanzania kwa miaka 24 kabla ya kung'atuka madarakani tar 5/11/1985.
Mwal. Alifariki dunia tar. 14/10/1999 akiwa na miaka 77.
Umoja ni nguvu! Mwalimu alipenda tuungane ili tuwe na nguvu..
Umoja wetu ni mafanikio yetu..
Transcend.
YesBado hujaelewa tuu kaka
Nao wanazungumza kifaransaLeo katika Historia:
1946 - Syria yapata Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Brooh!Habari za asubuhi wapendwa wangu makapuku!?
Leo nimeamka nikiwa na hamu ya kuwafaham hawa watu na ningeomba kueleweka japo ni ngumu kwa sababu ni suala la moyon inawezekana ulimi hauwez kulieza vizr nikapata kueleweka!!!
Transcend
Nyegei
Blessed hope
Rogie
Sakayo
Shedede
Shunie
ClKey
Lee empire
Bullar
Nyinyi ni kina nani!?!?
Hapa inbox naomba iuhisike na na mshukulu MUNGU mondray nimeshamfaha na lakufurahisha zaidi ni Jilani yangu!!!
Ndugu leo sio kesho upatopo wazo lifanyie kazi usisubilie kesho!!
Nimeamua kuomba kuwafaham koz nmemeona mnastahili kuwa wanafamilia wangu Kupitia makapuku japo wengine watakuwa wa mbali ila sitajali!!
Nishaweka mkuuWakuu tuwe na siku njema..
Mkuu mr T tunakusubiria kwa lishe ya ubongo ...Ila sio mbaya tukaipitia na hii
Niko bhheee mkuuMsalimie T, ila analala sana mpuguzie dose.
Asante mkuu..Leo katika Historia:
1946 - Syria yapata Uhuru wake toka kwa Ufaransa.
Weka mawasiliano binafsi tuweze kuhack mkuuBrooh!
Unanifahamu tayari kaka!
Kweli week zoote hizi bado tumekaa hapa makapuku bado hujapata kunifahamu?
Kwa kifupi basi na wengine wanifahamu..
Jina: Transcend M.
Jinsia: me
Age; 27
Kazi: mjasiria mali
Ndoa; uchumba na Sakayo
Bado nini tena mkuu?
Natumaini mmenifahamu sasa..!
No zangu nilishaweka hapa!Weka mawasiliano binafsi tuweze kuhack mkuu
Wanatakiwa wafanye kama Leicester kupoteza kila game washike no. 17 kama Wenge hajaondoka!!!
Kumuondoa Arsen Wenger ni tatizo la kwanza, kuwatuliza mashabiki ni tatizo la pili, kuwabakisha Ozil na Sanchez nalo ni tatizo la tatu...... Alafu tatizo la nne ni kuirudisha Arsenal ndani ya top four......
Na tatizo la tano ni michezo migumu uliopo mbele ya macho yao huku timu ikiwa frustrated kuanzia mbinu mpaka saikolojia........japo juz walifunga
Kumtikisa Stan Kroenke ni kutokununua tiketi za Msimu ujao tu kwaajili ya Wenger ila kukusanya maoni hata 100% na kubeba mabango hakuwezi kupenya kwenye mawani ya Stan Kroenke kirahisi...... Sasa endeleeni kununua tiketi na muendelee kujibebea mabango kwa mazoezi zaidi....
Huu ni Msimu wa lawama tu..... Wacha tulaumiane
Rudia tena puliiizNo zangu nilishaweka hapa!
Sema kwa kuwa hamsomi post zote mmezipita ..