Makapuku Forum

Rwanda hakuna mapenzi ya dhati na asikudanganye mtu Mrwanda hawezi kubeba mimba ya mtu asiyekuwa mrwanda lazima azae na mrwanda wewe utaishia kulea mimba na mtoto wakati mwenzio katia mimba...ogopa
Mkuu, mimi sihitaji kuwabebesha mimba. Mimba ya nini tena? Mtoto wa Kitutsi atanisaidia nini?

Kuna huyu MD hapa moto ngoja akumbane na kitu laivu kutoka Koromije. Nitakupa mrejesho!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…