Makapuku Forum

Amen Nyagei. Yeye Ndiye na Bila Yeye sisi Ndisi! Ubarikiwe sana!!!
 
Shunie
jamani upo? Hata nikipotea wala hunijulii hali. Kulikoni jamani? Wajua roho yaniuma mwenzio? Anyway. Sina safari yo yote kwa wiki tatu zijazo na nitakuwa hapa Makapuku laivu 24/7. Tuwemo sasa. Na tumada twa kufikirisha fikirisha nitakuwa naviweka. Napenda kufikiri sana na mojawapo ya turn off kwangu ni binti ambaye haelewi cho chote yaani yeye yupo yupo tu. Kwa vile Molla kampa papuchi basi ndiyo kaifanya kuwa alpha na omega. Binti wa hivyo kwa kweli hata kama angekuwa mzuri kumzidi Shunie
kwangu mimi ni bure. Love you guys na wote mnaolala basi mlale salama!
 
Umegeuka mwanafalsafa? Ulishafanikiwa kuibua mpendwa hapa au bado unasota kama mimi? Mambo hapa ni magumu mpaka mi nimeamua kuhamia Rwanda.
Daaah mkuu hapa kila mtu ana mtu mkuu
Aganza nampenda but anaweka ulokole mbele zaiid mkuu nimetumia mpaka njia za iblis kumuaproch yule kimwana kakataa katuu

Uko rwanda i wish na mimi nifike huko maana hakuna adha kama ambayo tunaipata sisi wa tz .......!
 
Rwanda kwa QUIGLEY ni hatari. Yaani kuna mabinti warembo utadhani hawakuzaliwa hapa duniani. Nimetambulishwa kwa medical doctor mmoja hapa dah! Kuna hatari ya kulowea mkuu. Bila Shunie
ningekuwa nshafunga virago. Fanya mishe uje kutembea. Nitaku-host!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…