Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ndio hata kuniaga baiby. Ila usijali nimelitunza penzi lako wala sijachepuka
089283d6d80633551de4468b77d453de.jpg
 
Nakumbuka akati nasoma divinity kuna sehemu tulisoma kua wanaisraeli hawakutumia njia ya moja kwa moja kwa sababu kulikua na maadui huko kwahiyo iliwabidi wazunguke sana kukwepa maadui
Thats very true...

Na wala hawakutembea siku zote..!

Utakumbuka hata wakati Mungu anamuita musa kumpa Ten commandments kule mlima sinai wana wa izrael walimsubiria..

Hawakutembea siku zote! And it was more than a zigzag movement..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom