Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
We ni me au keWe cheusi tulia sio mods waje wakufute wew ata uonekani vzr
Missing you more my loveMy world..
My happyness
My breath
My everything..
Nimekumiss wewe mtoto wa kitanga.
Njoo huku mama! Nimekumiss..
Mi meNawewe ni ke au me![]()
![]()
Mi meMi me
Basikaa nyumbani utulie sio kuhangaika mitandaoni usiku usikuMi ke
Mkuu umekosea kuquoteBasikaa nyumbani utulie sio kuhangaika mitandaoni usiku usiku
Sina history ya kukosea kwahyo usiwe na shakaMkuu umekosea kuquote
Mi me bhanaSina history ya kukosea kwahyo usiwe na shaka
Basikaa nyumbani utulie sio kuhangaika mitandaoni usiku usiku
MPE vidonge vyake huyo anajifanya anawajua watu mfyuuuu zakeMfate Melo pm kabisa.Mods njooni muufute huu Uzi mi siuelewi
Uko salamaMissing you more my love
unaniletea nnSoon nakuletea
ulitumwa uingie lknMods njooni muufute huu Uzi mi siuelewi
na naniShunie njoo unaitwa
Shededena nani
Kwa hapa Tanzania wapo wadada maarufu kwenye muziki wa bendi, hukosi kuwataja kina Kida Waziri, Ngalula, Frida, na kina Kinasha(sitawataja wale maarufu kwenye miziki ya taarabu)
Kwa wapenzi wa 'urban blues' utamkuta mwanamama Willie Mae ‘Big Mama’ Thornton, huyu alikuwa ni bonge wa vyote, wajihi, sauti ya kusisismua na kuwasilisha ujumbe kwa kuimba. Aliimba wimbo uliokaa kwenye chat za R&B kwa wiki saba, hii ni mwaka 1953.
Hapa anaimba na Buddy Guy
kida waziri ndio huyo nyimbo yake tuliikuta![]()
Kida Waziri "wifi zangu mna mambo"![]()
Umenikumbusha mbali![]()
Huyu ndo Willie Mae
.......
Usiku mwema my swetie! ..Missing you more my love