Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kwa hapa Tanzania wapo wadada maarufu kwenye muziki wa bendi, hukosi kuwataja kina Kida Waziri, Ngalula, Frida, na kina Kinasha(sitawataja wale maarufu kwenye miziki ya taarabu)

Kwa wapenzi wa 'urban blues' utamkuta mwanamama Willie Mae ‘Big Mama’ Thornton, huyu alikuwa ni bonge wa vyote, wajihi, sauti ya kusisismua na kuwasilisha ujumbe kwa kuimba. Aliimba wimbo uliokaa kwenye chat za R&B kwa wiki saba, hii ni mwaka 1953.
Hapa anaimba na Buddy Guy

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom