Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Ubahili ndio maana walikuwa wanaanikwa chini![]()
Chakula chetu kolomije chini.
Ubahili ndio maana walikuwa wanaanikwa chini![]()
Chakula chetu kolomije chini.
Hakuna kunguru kabisa..Ivi huko hmna kunguru au wite wamekinai samaki?
Daah!Hakuna kunguru kabisa..
Full migebuka
Ubunifu maridadi
Sio kweli.Ubahili ndio maana walikuwa wanaanikwa chini
Nimegonga mlango haunikaribishi.Daah!
Kwanini iwe hivyo?Sio kweli.
Wapo wa chini na wakwenye nyavu.
Kutokana na mazingira..Kwanini iwe hivyo?
Sukuma tu mlango mkuu unaogopa kufumania?Nimegonga mlango haunikaribishi.
Sawa na kule Mwanza napo ni hivyo au?Kutokana na mazingira..
Hizo za kwenye nyavu zinatoka kigoma mjini.
Hizo zenye kuanikwa chini zinatoka kigoma kusini ambapo kidogo wao wapo nyuma kiteknolojia ya uvuvi ajili ya Hali ya maisha...
Si nimekuuliza kam una funguo!?Nimegonga mlango haunikaribishi.
Ndo hapo sasa!!! Anakuja kwa mali yake alafu yuko bize kugonga mlango!!Sukuma tu mlango mkuu unaogopa kufumania?
Kaa kimya mpaka aingie mwenyeweNdo hapo sasa!!! Anakuja kwa mali yake alafu yuko bize kugonga mlango!!
Too late... NshamfunguliaKaa kimya mpaka aingie mwenyewe
Ana bahatiToo late... Nshamfungulia
Tupo...Makapuku mpo?
Mnaendeleaje na ukapuku wenu?
Vyema as you seeMakapuku mpo?
Mnaendeleaje na ukapuku wenu?