BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Hata mimi nimejiuliza labda risasi ilipopenya![]()
Huo mshale una ashiria kitu gani?
Mhhhhh!duuh...umeenda na viatu vyangu
Hata mimi nimejiuliza labda risasi ilipopenya![]()
Huo mshale una ashiria kitu gani?
Mhhhhh!duuh...umeenda na viatu vyangu
nimekumiss tu hapa na vituko vyako

Niko mahali nakata Noah aiseekino nikafanye nn shemela mm
Mmh we si unasemaga upo porini zambia hukoNiko mahali nakata Noah aisee
Nisharudi bhnaa!Mmh we si unasemaga upo porini zambia huko
Mkristo- ila sisi wasabato masalia huwa hatuna hizo mambo kabisa!kwaresma mwisho tar 15 vipi kwan we sio mkristo
Merci b

mmh yaan mambo ya jf kuficha ficha tuNisharudi bhnaa!
Niko Tz now..


Ubarikiwe mkuu,umeshindaje?karibuNibariki na mimi
kweli wasabato hawana kwaresma nina rafiki yangu ni msabatoMkristo- ila sisi wasabato masalia huwa hatuna hizo mambo kabisa!
Ndiyo maana nashindwa kuelewa inaisha lini.kweli wasabato hawana kwaresma nina rafiki yangu ni msabato

ahadi ipi tena hiyoNdiyo maana nashindwa kuelewa inaisha lini.
Maana nina hamu sana ya kutimiza ahadi yangu![]()
Hahaaal kweli vile!mmh yaan mambo ya jf kuficha ficha tu![]()
Usiwe na haraka subiri kwaresma iishe utaijua tu!ahadi ipi tena hiyo
nimekumiss tu hapa na vituko vyako![]()
af kwanini umerudisha hiyo avatar ya kimini hujui unawapa wakati mgumu kondoo wa bwana?Mkristo- ila sisi wasabato masalia huwa hatuna hizo mambo kabisa!

AmenUbarikiwe mkuu,umeshindaje?karibu
Nashangaa sanammh yaan mambo ya jf kuficha ficha tu![]()