Makapuku Forum

Hubby
Sijui kwa nini nimelia baada ya kusoma ujumbe huu!!

Niseme tu Nakupenda Transcend only God knows how much I love you......
 
Amina mamy
 
Tarehe kama ya leo, mwanaharakati wa HAki za Weusi katika USA, Martin Luther King Jr anauawa kwa kupigwa risasi hotelini huko Memphis,Tennessee.
Muuaji wake alikamatwa na kufungw miaka 99.
 
Am taking care of you Sakayo..

I have your heart..! Lazima niulinde huu moyo wako ulionipa mama..

Take care of me too..
Baby love
Moyo wako uko mahali salama honey!!!
Kila sekunde lazima niulinde na kuuthamini mpenzi!!! Till death do as apart!!

Can't handle this life without you by ma side!!!

Love you husband of mine
 
Tarehe kama ya leo, mwanaharakati wa HAki za Weusi katika USA, Martin Luther King Jr anauawa kwa kupigwa risasi hotelini huko Memphis,Tennessee.
Muuaji wake alikamatwa na kufungw miaka 99.


Tarehe kama ya leo, mwanaharakati wa HAki za Weusi katika USA, Martin Luther King Jr anauawa kwa kupigwa risasi hotelini huko Memphis,Tennessee.
Muuaji wake alikamatwa na kufungw miaka 99.

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…