Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nyagei kashalala mondray yuko barAise kwema kabsa....ila nimechelewa kuingia mpaka sijamkuta nyagei na mondray
Nyagei kashalala mondray yuko barAise kwema kabsa....ila nimechelewa kuingia mpaka sijamkuta nyagei na mondray
Nawasi wasi na mwili wakeNdo hapo sasa. Jamaa hataki kusema kilichomtokea. Mbaya zaidi jike dume lenyewe inaonekana ni international prostitute. Limetoka hapa hiloo linakwenda Angola kwa mwaliko mwingine. Jamaa hapa alipo hana raha kabisa. Tamaa ya kupata mzungu imegeuka aibu kubwa!

Nipo mkuu. Za kupotea? Ulikuwa site nini?Mkuu upo!
I will do it brooh! As long as i love her..Mkumbatie dadangu tightly mkuu
NaniiiiImani yetu inakataza au bado unaswali gigy
Yes, nambie mkuuMimi Mkuu!!
Aisee nina dogo langu lina zigo haswa, nafikiri utazirai ukiona![]()
![]()
fundi sofa hukalia vigoda nyumbani
Aksante Mkuu kwa kuni juza....Nyagei kashalala mondray yuko bar
Mi niko ngangali leo silali kizembeWee dakika 3 ushalalaa
Utaniruhusu nimsalimie huko kwenye baridi!I will do it brooh! As long as i love her..
Nampenda ki-ukweli...
One day..! Mje mcheze kwaito
Nilitaka nikujulie hali tu Mkuu!!Yes, nambie mkuu
Mondray mleviAksante Mkuu kwa kuni juza....
Nyagei anaongea na malaika...mondray sijui anaongea na mda huu!!??

Unakuja na vyeti org?Mkuu Shedede. Endelea na Shunie. Ngoja mi nilale. Kesho nina kisafari kutoka hapa Koromije kwenda Dar. Utanipa mrejesho kesho. Good night people. Tusemezane kesho tena tukijaliwa...
.....Nakuona unabadilisha tu avatar (in soud brown's voice)Mshenga
Af watu walidhani leo ulikuwa labouravatar fake inawachanganyaaalee anawacheka kwa dharau

Msalimie tuu mkuu..Utaniruhusu nimsalimie huko kwenye baridi!