Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
Hahahaha![]()
Kiki kila mtu anaitaka!!
Hahahaha![]()
Kiki kila mtu anaitaka!!
Tuwe careful mkuu. Haya mambo yana matatizo yake!
Shimba Ya Buyenzi hili jina mbona linanitisha!!!Ndivyo tulivyo. Ulikuwa hujui?![]()
Sasa uko lodge siku nne walikuwa wanapiga story auTuwe careful mkuu. Haya mambo yana matatizo yake!

Ikiwa ndo mathor ako unafanyaje wakuu!?Hahahaha

Shimba ya buyenseShimba Ya Buyenzi hili jina mbona linanitisha!!!
Mkuu, linakutisha kivipi. Hujawahi kuona simba dume lenye manyoya?Shimba Ya Buyenzi hili jina mbona linanitisha!!!
Nipo meya wangu wa kigali, mambo!Kagame upo ndugu!?
Kwema mkuuKwema kaka
Mkuu upo!Tuwe careful mkuu. Haya mambo yana matatizo yake!
Ni ndefu kama sentence!!Mkuu, linakutisha kivipi. Hujawahi kuona simba dume lenye manyoya?![]()
We hatar mkuu we ni shimbaMkuu, linakutisha kivipi. Hujawahi kuona simba dume lenye manyoya?![]()
Kumbe jina linasadifu eeh!?Mkuu, linakutisha kivipi. Hujawahi kuona simba dume lenye manyoya?![]()
Mkumbatie dadangu tightly mkuuKwema mkuu
Nani ananiita mkuuUnaitwa hata hausikii!!
Ndo hapo sasa. Jamaa hataki kusema kilichomtokea. Mbaya zaidi jike dume lenyewe inaonekana ni international prostitute. Limetoka hapa hiloo linakwenda Angola kwa mwaliko mwingine. Jamaa hapa alipo hana raha kabisa. Tamaa ya kupata mzungu imegeuka aibu kubwa!Sasa uko lodge siku nne walikuwa wanapiga story au
![]()
![]()
![]()
![]()
Wee dakika 3 ushalalaaWakubwa tunakeshaaaa
Mimi Mkuu!!Nani ananiita mkuu