denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,953
hahahhhh kwenye mapenzi hakunaga uganster
, nenda Tarime ndio utapata tafsiri ya hizo you know babe, mwisho wake ni wapi?hahahhhh kwenye mapenzi hakunaga uganster
, nenda Tarime ndio utapata tafsiri ya hizo you know babe, mwisho wake ni wapi?
![]()
![]()
![]()
, nenda Tarime ndio utapata tafsiri ya hizo you know babe, mwisho wake ni wapi?




Ngumu kumeza hiiSiku hizi watu kusingizia mimba ili wapate vitu vingine mf. hongera, sympathy, off kazini na mengineyo ni jambo la kawaida. Kuna binti mmoja yeye aliwapiga adoption agency kuwa ana mimba na mtoto atamtoa awe adopted, na familia ikapatikana wakawa wanamtunza kwa kumnunulia vyakula organic ale vizuri, wanamnunulia prenatals, wanamlipia mpaka kodi ya nyumba kumbe porojo tu. Zikifika siku za kwenda kwa daktari kupiga ultrasound binti visingizio kibao. Ndiyo baadaye ikajulikana kumbe ilikuwa mimba hewa na sasa kesi inaunguruma mahakamani. Mjini hapa mkuu be careful unaweza kutapeliwa hata emotionally![]()
Mfyuuuuuu
Kwani kipi kimekuudhi mpzhoney hebu twende tukalale siku ishaaribika tayari
Poleeaisha ni zaidi
yani sioni mbele, nyuma, kati wala nilipo sijui
Ana nn kwani@Aisha2016 mtunze ndugu.yangu
Numbisa ndiyo nani? Mapicha haya ni sawa na emoji tu na yanasaidia sana. Hapo juu umenisonya/umenitukana mfyuuuu! Sasa ulitaka mi nisemeje jamani? Ulitaka pia nikutukane? Mimi kweli nimsonye/nimtukane Shunie? Hell no! Ndo maana nimeishia kucheka tu. Avatar ya kawaida yayaan we na Numbisa mngeelewanakwa mapicha


ni overused na wakati mwingine ni vizuri kuleta vionjo vingine. Vumilia!
Tatizo ya kupenda wazee ..huyo mzee umempenda lakini haya mambo hajayazoeaKwani kipi kimekuudhi mpz
Numbisa nae hivyohivyo anamjibu mtu kwa picha tu yaan nilivyoona hivyo nimemkumbuka yy yupo humu jfNumbisa ndiyo nani? Mapicha haya ni sawa na emoji tu na yanasaidia sana. Hapo juu umenisonya/umenitukana mfyuuuu! Sasa ulitaka mi nisemeje jamani? Ulitaka pia nikutukane? Mimi kweli nimsonye/nimtukane Shunie? Hell no! Ndo maana nimeishia kucheka tu. Avatar ya kawaida yani overused na wakati mwingine ni vizuri kuleta vionjo vingine. Vumilia!
Njoo kwangu jamaniHe sasa niende kwa nani![]()
![]()
Hahaha nani mzeeTatizo ya kupenda wazee ..huyo mzee umempenda lakini haya mambo hajayazoea
mwenyewe hapa hata sielewi, naona tu mambo hayako sawaKwani kipi kimekuudhi mpz
Tatizo ya kupenda wazee ..huyo mzee umempenda lakini haya mambo hajayazoea
ngoja nikasettle kesho nitajua nianzie kukupigia wapiaje kufanya nin?Njoo kwangu jamani
Kila demu ya mtu lkn aisha hana msimamo hajui aende wapi we aisha2016Komaaaa ni shem wako kwa snipes
Hua huishiwi vituko ww daah
Nakuambia kaa mbali nae please. .
Sawa Soud baadae mzee mkavu.
Aisha mpotezeee tafadhari..


Mzee mkavuuNjoo kwangu jamani
Huyoo anayejifanya bwana wakooHahaha nani mzee
mwenyewe hapa hata sielewi, naona tu mambo hayako sawa
me natangulia kulala
usiku mwema nakupenda sana
uzee shidaa