Makapuku Forum

Makapuku Forum

Lee Empire & Shunie mnakesi ya kujibu kwangu,
Haiwezekani nishinde namuombea shunie ajifungue salama pamoja na ku suggest majina ya mtoto halafu kumbe ni UONGO.
Siku hizi watu kusingizia mimba ili wapate vitu vingine mf. hongera, sympathy, off kazini na mengineyo ni jambo la kawaida. Kuna binti mmoja yeye aliwapiga adoption agency kuwa ana mimba na mtoto atamtoa awe adopted, na familia ikapatikana wakawa wanamtunza kwa kumnunulia vyakula organic ale vizuri, wanamnunulia prenatals, wanamlipia mpaka kodi ya nyumba kumbe porojo tu. Zikifika siku za kwenda kwa daktari kupiga ultrasound binti visingizio kibao. Ndiyo baadaye ikajulikana kumbe ilikuwa mimba hewa na sasa kesi inaunguruma mahakamani. Mjini hapa mkuu be careful unaweza kutapeliwa hata emotionally
 
Siku hizi watu kusingizia mimba ili wapate vitu vingine mf. hongera, sympathy, off kazini na mengineyo ni jambo la kawaida. Kuna binti mmoja yeye aliwapiga adoption agency kuwa ana mimba na mtoto atamtoa awe adopted, na familia ikapatikana wakawa wanamtunza kwa kumnunulia vyakula organic ale vizuri, wanamnunulia prenatals, wanamlipia mpaka kodi ya nyumba kumbe porojo tu. Zikifika siku za kwenda kwa daktari kupiga ultrasound binti visingizio kibao. Ndiyo baadaye ikajulikana kumbe ilikuwa mimba hewa na sasa kesi inaunguruma mahakamani. Mjini hapa mkuu be careful unaweza kutapeliwa hata emotionally
155k
 
tuacheeee wivu tuuu
3ecb7c457e3dd39cb4cd524ef2d66f8d.jpg
 
Siku hizi watu kusingizia mimba ili wapate vitu vingine mf. hongera, sympathy, off kazini na mengineyo ni jambo la kawaida. Kuna binti mmoja yeye aliwapiga adoption agency kuwa ana mimba na mtoto atamtoa awe adopted, na familia ikapatikana wakawa wanamtunza kwa kumnunulia vyakula organic ale vizuri, wanamnunulia prenatals, wanamlipia mpaka kodi ya nyumba kumbe porojo tu. Zikifika siku za kwenda kwa daktari kupiga ultrasound binti visingizio kibao. Ndiyo baadaye ikajulikana kumbe ilikuwa mimba hewa na sasa kesi inaunguruma mahakamani. Mjini hapa mkuu be careful unaweza kutapeliwa hata emotionally
Hahahaha Hahahahaha, raia wamechoka mkuu. Kila gap wanakaba siku hizi.
Nimecheka sana.
 
Siku hizi watu kusingizia mimba ili wapate vitu vingine mf. hongera, sympathy, off kazini na mengineyo ni jambo la kawaida. Kuna binti mmoja yeye aliwapiga adoption agency kuwa ana mimba na mtoto atamtoa awe adopted, na familia ikapatikana wakawa wanamtunza kwa kumnunulia vyakula organic ale vizuri, wanamnunulia prenatals, wanamlipia mpaka kodi ya nyumba kumbe porojo tu. Zikifika siku za kwenda kwa daktari kupiga ultrasound binti visingizio kibao. Ndiyo baadaye ikajulikana kumbe ilikuwa mimba hewa na sasa kesi inaunguruma mahakamani. Mjini hapa mkuu be careful unaweza kutapeliwa hata emotionally
Mfyuuuuuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom